Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hivi mtu akitaka kuhudhuria faraghani (mfano mimi ambaye si muumini wa huko); nikija lazima nivae skirt ya marinda na kunyoa au kilemba?
Hata mambo mazuri nimeyasema.
Pale juu nimesema uwata ni moja Kati ya fellowships zenye nguvu sana.
Hakuna ubabaishaji,kule watu wanaomba Jamani na Mungu anajifunua kwa viwango vya ajabu.
Yaani true cheistians wengi utawakuta kule...hakuna kufake kabisa kama baadhi fellowships nyingine.
Mungu aliyepo kule ni wa uhakika na anatafutwa kwa uhakika,
Na hata ukijidai ujifiche ufanye maovu,watakuengua tu maana watu wanaona kule.
Pia Kuna utaratibu wa kuona juu ya Safari unayosafiri.
Mungu akisema no basi usisafiri
Pia kuna ile maombi pale mtu anapopumzika(kufa)
Wanaangalia kama amepumzika pazuri ama amepotea.
Mambo mazuri nimengi Sana, siwezi yataja yote.
Sent using Jamii Forums mobile app

