Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unamwambia tuu ikiwezekana unampiga neno...

Sema humu ndani (JF) member wapo wengi sanaa nawafahamu id zao
Kumbe hadi humu wapo!
Mimi simjui hata mmoja aisee.


Labda upate mtu mwelewa,,vinginevyo ataanza kukuona mshamba..alikupata ukiwa hivi,wewe umeenda huko umerudi na nguo zako za marinda..
Alikukuta na nywele umesuka vzr, baadaye eti unabadilika umenyoa unachana na brush.
Najaribu tu kuwaza...
Changamoto ni nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe hadi humu wapo!
Mimi simjui hata mmoja aisee.


Labda upate mtu mwelewa,,vinginevyo ataanza kukuona mshamba..alikupata ukiwa hivi,wewe umeenda huko umerudi na nguo zako za marinda..
Alikukuta na nywele umesuka vzr, baadaye eti unabadilika umenyoa unachana na brush.
Najaribu tu kuwaza...
Changamoto ni nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta aliyetoka kama Me
 
Kwa kweli usije ukajaribu, mpendane hukohuko faraghani au akupende ukiwa faraghani. Sio unakutana na mtu huko, afu from nowhere unaanza mambo ya faraghani, ndugu ndoa utaiona chungu.
Kumbe hadi humu wapo!
Mimi simjui hata mmoja aisee.


Labda upate mtu mwelewa,,vinginevyo ataanza kukuona mshamba..alikupata ukiwa hivi,wewe umeenda huko umerudi na nguo zako za marinda..
Alikukuta na nywele umesuka vzr, baadaye eti unabadilika umenyoa unachana na brush.
Najaribu tu kuwaza...
Changamoto ni nyingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda awe anaelewa haya mambo ya Uwata..hata siku nikienda huko anakuwa aware.
Ila ukienda tu kutafuta mtu hajui hata uwata ni nini,nakuambia siku ukirudi faraghani anaweza kukuona kichaa Kama si kukupiga marufuku kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
yote heri tuu ila uludi ndani... Nikija mbeya na nakufata😂🤣
 
Kwa kweli usije ukajaribu, mpendane hukohuko faraghani au akupende ukiwa faraghani. Sio unakutana na mtu huko, afu from nowhere unaanza mambo ya faraghani, ndugu ndoa utaiona chungu.
Ndiyo
Mimi hayo yote nilishayapima.

Mgiriki anaongea simple tu,hajawaza kuhusu matokeo yake itakuwaje

Ni aidha upate faraghani,akikupenda ukiwa faraghani hii haitakiwi,labda km ataingia faraghani na hata akiingia bahati ya kukuoa inaweza isimuangukie.
Ama mtoke wote huku nje muingie faraghani mkiwa mmeshaoana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom