Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Kama unaweza vaa usijilazimishe Mwenza RafikiMimi ni shindikanika, kubadilika hapana. Ngoja nianze kuvizia sketi za marinda
Ila ukipata ya mArinda itapendeza maana ina siri kubwa mno
Kama unaweza vaa usijilazimishe Mwenza RafikiMimi ni shindikanika, kubadilika hapana. Ngoja nianze kuvizia sketi za marinda
Amna ni nature tuu tuliyozoea...Watu wapo serious na kuvuna nafsi
Kwa Kweli.Mimi mwenyewe ni Mama Mchungaji, kuhamia huko ni kujipa talaka automatikale

Aaah huwezi pewa taraka na hapo ndo utaamini Mungu yupoMimi mwenyewe ni Mama Mchungaji, kuhamia huko ni kujipa talaka automatikale
Wanaongea uhalisiaKwa Kweli.
Wewe inabidi umsapoti mumeo tu hukohuko.
Shida wale watu ukienda,wanakushawishi uingie..si unajua ile mtu ukiwa sehemu fulani unaona ndo sahihi.
Wanaona huko kwingine km unapotea vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hadi humu wapo!Unamwambia tuu ikiwezekana unampiga neno...
Sema humu ndani (JF) member wapo wengi sanaa nawafahamu id zao
Kwa Kweli.
Wewe inabidi umsapoti mumeo tu hukohuko.
Shida wale watu ukienda,wanakushawishi uingie..si unajua ile mtu ukiwa sehemu fulani unaona ndo sahihi.
Wanaona huko kwingine km unapotea vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta aliyetoka kama MeKumbe hadi humu wapo!
Mimi simjui hata mmoja aisee.
Labda upate mtu mwelewa,,vinginevyo ataanza kukuona mshamba..alikupata ukiwa hivi,wewe umeenda huko umerudi na nguo zako za marinda..
Alikukuta na nywele umesuka vzr, baadaye eti unabadilika umenyoa unachana na brush.
Najaribu tu kuwaza...
Changamoto ni nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah huwezi pewa taraka na hapo ndo utaamini Mungu yupo
Imejengwa katika misingi ya upendo.Watu wapo serious na kuvuna nafsi
Kumbe hadi humu wapo!
Mimi simjui hata mmoja aisee.
Labda upate mtu mwelewa,,vinginevyo ataanza kukuona mshamba..alikupata ukiwa hivi,wewe umeenda huko umerudi na nguo zako za marinda..
Alikukuta na nywele umesuka vzr, baadaye eti unabadilika umenyoa unachana na brush.
Najaribu tu kuwaza...
Changamoto ni nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikubwa kila mtu ataenda Mbinguni kivyake.. Na Mungu anaangalia matendo mema siku zote kuliko mabaya maana binadamu sio wakamilifuKwa kweli kila mtu anaonaga alipo yeye ndiyo sahihi
Labda awe anaelewa haya mambo ya Uwata..hata siku nikienda huko anakuwa aware.Tafuta aliyetoka kama Me


Kama si kukupiga marufuku kabisa.Kikubwa kila mtu ataenda Mbinguni kivyake.. Na Mungu anaangalia matendo mema siku zote kuliko mabaya maana binadamu sio wakamilifu
😂😂hicho ndo kinanifanya niludi ule upendo naukumbuka sanaaImejengwa katika misingi ya upendo.
Wale watu wana upendo wa ajabu.
Ninaweza toka hapa,nikaja faraghani ya Daslam kuombewa ...nikaishi kwa mtu huko hata miezi na miezi na wasinichoke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli.Wanaongea uhalisia
japo siyo zote.
🙏🙏🙏Hakika
yote heri tuu ila uludi ndani... Nikija mbeya na nakufata😂🤣Labda awe anaelewa haya mambo ya Uwata..hata siku nikienda huko anakuwa aware.
Ila ukienda tu kutafuta mtu hajui hata uwata ni nini,nakuambia siku ukirudi faraghani anaweza kukuona kichaaKama si kukupiga marufuku kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
NdiyoKwa kweli usije ukajaribu, mpendane hukohuko faraghani au akupende ukiwa faraghani. Sio unakutana na mtu huko, afu from nowhere unaanza mambo ya faraghani, ndugu ndoa utaiona chungu.

.HongeraMwenza Rafiki.... Nimezaliwa humo nimekulia humo now nimeetoka ila ntaludi nikitulia