Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Hapa leo story tuUsiniangushe mdogo wangu weka vitu hapa tafadhali



Picha panda juu ukarudie kuangalia za zamani.
Hapa leo story tuUsiniangushe mdogo wangu weka vitu hapa tafadhali



Jina ni Uwata sema faraghani limekuwa maarufu sanaa...
Hahaah wakaka walikuwa hawajipendi? Na wenyewe hawana mfumo wao wa mavazi?Shida inaminya Uhuru wa wadada
At least miaka hii wakaka wanajipenda wanapendeza,miaka ya nyuma wanaweza kubambikia mtu hata hujamuelewa.
Ni utaratibu mzuri hasa kwa hiki kizazi chetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Farghani ni ile sehemu ibada zinafanyikia.Mwenza rafiki na wewe ni wa faraghani? Kwa kweli faraghani imezoeleka kuliko Uwata
Dah miaka hiyoHahaah wakaka walikuwa hawajipendi? Na wenyewe hawana mfumo wao wa mavazi?








anadhambi yule sista.
😂😂😂vingi vinambana sioSasa kwa nini hutaki kuvaa marinda jamani?
Mbona wanapendeza tuu tena utukufu kwa BwanaIla wale faraghani ile mikato yao mimi hoii!marinda kabisaa
😂😂😂😂hata sio shidaa.. Shida pale mbele pa motoYaani mavazi si tatizo kabisa yaani..
Nimevaa hadi mabaibui,sembuse marinda tu!
Ila tu Kuna shida kwa kweli masharti yetu kule ni ngumu mno aisee
Hasa mambo ya kuja kuchaguliwa mtu aisee..ni changamoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenza Rafiki.... Nimezaliwa humo nimekulia humo now nimeetoka ila ntaludi nikituliaMwenza rafiki na wewe ni wa faraghani? Kwa kweli faraghani imezoeleka kuliko Uwata
Dah miaka hiyo
Akiwa anakuhadithia dada yangu kuhusu hilo la kuchaguliwa yaani utacheka.
Anasema yaani wanakubambikia mtu mbayaanadhambi yule sista.
Wakaka uvaaji wao unaotakiwa ni suruali za vitambaa zenye mapanga.
Japo siku hizi Kuna vijana walishazimodofy,hawaweki tena mapanga.
Sent using Jamii Forums mobile app

Mwenza Rafiki.... Nimezaliwa humo nimekulia humo now nimeetoka ila ntaludi nikitulia
Alishaacha kitambo yuleHahaha dada yako naye alichaguliwa au? Kwa kweli kuna watu roho haziwakubali afu ndiyo unabambikwa sasa


vingi vinambana sio
Mbona wanapendeza tuu tena utukufu kwa Bwana
hata sio shidaa.. Shida pale mbele pa moto
Mwenza Rafiki kule kwa kujikana hasa hakuna Utubu dhambi na ukaludie tenaa ni mwiko.. Ndo maana sisi vijana panatushindaa maana Mungu hadanganywi aseee nikitulia nikiona now nimeamua kuwa wa Mungu 100%Haya mfanye mrudi na mwenzio Anne![]()
Unajua mimi hiyo uliyotaja siyo shida kwangu.
Shida ni kuchaguliwa mtu...naogopa naweza chaguliwa mtu ambaye sijaridhia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa vizuri ndani(unaelewa) huwez kataaUnajua mimi hiyo uliyotaja siyo shida kwangu.
Shida ni kuchaguliwa mtu...naogopa naweza chaguliwa mtu ambaye sijaridhia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna jambo linalofanyika uwata ambalo halipo kwenye Biblia... Maswala ya ndoa yanafata taratibu za biblia tuu...Sasa si ndiyo maombi yamekuchagulia huyo jamani? Kwa kweli hapo ni mtihani
ukiwa mvivu kwenda faraghani na kuomba patakushinda tyuAlishaacha kitambo yule
Yeye kwanza alikuwa mvivu hata kusali..anasema nilikuwa nachoka Sana
Ukiwa kule basi maombi marefu na kupiga magoti isiwe shida kwako..Kama hiyo kwako Ni changamoto basi huwezi dumu kule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwa sasa siwezi rudi mazima kule.Haya mfanye mrudi na mwenzio Anne![]()


,ila siku akijisikia kwenda anaenda tu kusali ila bado hajatubu..familia yao kuanzia babu yake na bibi yake ni wanauwata.Ukiwa vizuri ndani(unaelewa) huwez kataa
Ujue sio kwamba tunapinga, kwa sababu spiritually hivyo ndivyo inavyotakiwa. Unaomba kwa imani, unajibiwa kwa imani na unapokea kwa imani. Sasa si kuna ule muda tunatazama mambo kwa jinsi ya mwili, ndiyo hapo sasa unasema khaaaa yaani huyu ndiyo anioe, kwa sababu inawezekana kabisa kwa jinsi ya mwili naona mmmh huyu hapana. Mambo ya rohoni.......Hakuna jambo linalofanyika uwata ambalo halipo kwenye Biblia... Maswala ya ndoa yanafata taratibu za biblia tuu...
Namfahamu huyo dogo... 😂😂Mimi kwa sasa siwezi rudi mazima kule.
Kuna dogo mmoja nimemuacha udom,anapiga sana drums kanisani ..huwa ananiambia dada mimi nitarudi tu,sasahivi dunia inanisumbua
Yeye suruali za vitambaa ni mtihani kwake.
Anavaa modo yaani,ila siku akijisikia kwenda anaenda tu kusali ila bado hajatubu..familia yao kuanzia babu yake na bibi yake ni wanauwata.
Sent using Jamii Forums mobile app
WeeSasa si ndiyo maombi yamekuchagulia huyo jamani? Kwa kweli hapo ni mtihani



hapana kwa kweli.