Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Utulie tu urudi mapema, hatuijui siku wala saa.
Mwenza Rafiki kule kwa kujikana hasa hakuna Utubu dhambi na ukaludie tenaa ni mwiko.. Ndo maana sisi vijana panatushindaa maana Mungu hadanganywi aseee nikitulia nikiona now nimeamua kuwa wa Mungu 100%
Taludi nijiandalie Safari ya Mbinguni

,ila siku akijisikia kwenda anaenda tu kusali ila bado hajatubu..familia yao kuanzia babu yake na bibi yake ni wanauwata.