Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahahhaha dogo kumbe umeshapiga mahesabu yako makali, ndiyo maana hutaki kurudi sasa hivi mweeh
Ndiyo
Mimi hayo yote nilishayapima.
Mgiriki anaongea simple tu,hajawaza kuhusu matokeo yake itakuwaje
Ni aidha upate faraghani,akikupenda ukiwa faraghani hii haitakiwi,labda km ataingia faraghani na hata akiingia bahati ya kukuoa inaweza isimuangukie.
Ama mtoke wote huku nje muingie faraghani mkiwa mmeshaoana.
Sent using Jamii Forums mobile app

.

