Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahhaha dogo kumbe umeshapiga mahesabu yako makali, ndiyo maana hutaki kurudi sasa hivi mweeh
Ndiyo
Mimi hayo yote nilishayapima.

Mgiriki anaongea simple tu,hajawaza kuhusu matokeo yake itakuwaje

Ni aidha upate faraghani,akikupenda ukiwa faraghani hii haitakiwi,labda km ataingia faraghani na hata akiingia bahati ya kukuoa inaweza isimuangukie.
Ama mtoke wote huku nje muingie faraghani mkiwa mmeshaoana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna bana, mahali nilipo ni sahihi sana kwa afya yangu ya roho, nafsi na mwili. Sina hata wazo la kuhama, bila hata ya Baba Mchungaji
Mwenza rafiki hizi story tunapiga vizuri tukiwa pamoja nakupa mifano kama yote..

Ila kama nilivyosema uwe uwata, uwe sehemu nyingine as long hakuna sehemu wanahubiri ukatende dhambi upo sehemu sahihi kikubwa kufika mbinguni
 
Hahahhaha dogo kumbe umeshapiga mahesabu yako makali, ndiyo maana hutaki kurudi sasa hivi mweeh
Mimi huwa napenda kutathmini mambo kabla sijafanya maamuzi.
Huwa napiga hesabu zangu vizuri.

Unakuta naingia tu,halafu huku nje anatokea mtu wa maana
Sasa sijui unaanza kurudi tena nje
Inakuwa kumchezea Mungu Sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa napenda kutathmini mambo kabla sijafanya maamuzi.
Huwa napiga hesabu zangu vizuri.

Unakuta naingia tu,halafu huku nje anatokea mtu wa maana
Sasa sijui unaanza kurudi tena nje
Inakuwa kumchezea Mungu Sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahhaa daah, haya subiri basi umpate mtu wa maana kwanza then ndiyo utajua ufanyaje
 
😂😂😂😂😂fata utaratibu sasa...
Ndiyo
Mimi hayo yote nilishayapima.

Mgiriki anaongea simple tu,hajawaza kuhusu matokeo yake itakuwaje

Ni aidha upate faraghani,akikupenda ukiwa faraghani hii haitakiwi,labda km ataingia faraghani na hata akiingia bahati ya kukuoa inaweza isimuangukie.
Ama mtoke wote huku nje muingie faraghani mkiwa mmeshaoana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom