Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie kumbe kweli, mimi sikuwahi kulifuatilia na kuvaa bra. Sasa wenye mizigo yetu na shimizi jamani mweeh.

Hivi na uzazi wa mpango hauruhusiwi? Jamani jamani kuna sehemu niliendaga nikamkuta huyo mama, ana watoto wengi, hawajapishana umri na anaendelea kufyatua kila inapowezekana. Ndiyo majirani wakawa wanateta eti hawaruhusiwi kutumia uzazi wa mpango
Ukiwa na mzigo mkubwa ni tatizo..
Lakini huwa yanakaa tu vizuri.


Uzazi wa mpango ni dhambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mdogo wangu..
Umechagua fungu lililo jema..nakumbuka kuna familia moja niliwahi kwenda wanasali faraghani.

Siku moja Jumapili wakataka kunipeleka changamoto ikaja kwenye nguo. Kwanza skert au gauni linapaswa kufika miguuni. Blauzi inatakiwa kufunika mikono.

Mimi nikasema nyie nendeni tu. Ila ni watu mna UPENDO sana..
Nimezaliwa tu huko ila nipo huko kama sipo
Naogopa kuingia mazima aisee,najua nitashindwa baadaye.

Ni watu wazuri Sana,wapo siriasi na Mungu Sana na nguvu za Mungu zipo Sana..ni moja kazi ya fellowships zenye nguvu Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie kumbe kweli, mimi sikuwahi kulifuatilia na kuvaa bra. Sasa wenye mizigo yetu na shimizi jamani mweeh.

Hivi na uzazi wa mpango hauruhusiwi? Jamani jamani kuna sehemu niliendaga nikamkuta huyo mama, ana watoto wengi, hawajapishana umri na anaendelea kufyatua kila inapowezekana. Ndiyo majirani wakawa wanateta eti hawaruhusiwi kutumia uzazi wa mpango
Ndiyo..
Mizigo na shimizi hivyo hivyo
Ila vijana wanavaa shimizi zile zenye Bra zinasaidia.
 
Aaah kumbe kutubu ni kama kupata kipaimara.

Hiyo system ya kutodate inasaidia sana kizazi hiki kilichokengeuka. Sio mtu mmoja humohumo kanisani ana mahusiano na watu kibao. Ila ukute sasa kuna kamtu unatamani Bwana aseme naye juu yako, afu unakuja kuletewa mwingine daah; ndiyo mambo ya rohoni sasa

Kuna harusi niliwahi kuiangalia kwenye "My Perfect Wedding South Africa". Na wenyewe nafikiri wana utaratibu kama huo, ingawa sikumbuki walikuwa ni dhehebu gani. Mkaka alipeleka maombi ya uchumba, siku majibu yaliporudi mdada akaitwa tu kwamba yeye ndiye aliyeonekana kwenye maombi. Baada ya hapo ni hakuna kuonana, wala kubadilsihana namba za simu, kukiwa na la msingi la kuwafanya muonane, mtaunganishwa na mtu wa kuheshimika, na mtakutana na yeye akiwepo imetoka hadi ndoa.
Yaani kutubu ni Kama kuingia rasmi..
Mfano umezaliwa uwata yaani wazazi wako wanasali humo...wewe unakuwa unaenda kusali hadi utakapokuwa mtu mzima Sasa ndio unatakiwa utubu,huingii tena kwa mgongo wa wazazi.
Yaani kama kupata kipaimara.

Mf mtu akitaka kuoa ,anapeleka kwa uongozi,anaweza ambatanisha majina ama akaenda tu hvyohivyo ,miaka hii kidogo wamelegeza, anaweza enda na majina pale..baada ya maombi wanamchagulia mmoja.
Hairuhisiwi kudate,ati sijui kaka amekupenda aje akuapproach,akikutaka na wewe ukakubali na ikabainika mna mahusiano basi tayari nyie mmejitenga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera,Mungu akusaidie na iwe hivyo
Sema kwa wanaume hawakazi sana kama upande wetu wadada
Mavazi kidogo ni changamoto.

Kuna mambo yananoga hii dunia,..mimi nimejifunzia kupiga ngoma huko uwata.


Yote ni kwa utukufu wa Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
R
ukiokoka okoka kila kitu... 😂

Mavazi sio shida ila shida nazani unaielewa...
 
Dinka people
FB_IMG_16205408512468156.jpeg
 
Aaah kumbe kutubu ni kama kupata kipaimara.

Hiyo system ya kutodate inasaidia sana kizazi hiki kilichokengeuka. Sio mtu mmoja humohumo kanisani ana mahusiano na watu kibao. Ila ukute sasa kuna kamtu unatamani Bwana aseme naye juu yako, afu unakuja kuletewa mwingine daah; ndiyo mambo ya rohoni sasa

Kuna harusi niliwahi kuiangalia kwenye "My Perfect Wedding South Africa". Na wenyewe nafikiri wana utaratibu kama huo, ingawa sikumbuki walikuwa ni dhehebu gani. Mkaka alipeleka maombi ya uchumba, siku majibu yaliporudi mdada akaitwa tu kwamba yeye ndiye aliyeonekana kwenye maombi. Baada ya hapo ni hakuna kuonana, wala kubadilsihana namba za simu, kukiwa na la msingi la kuwafanya muonane, mtaunganishwa na mtu wa kuheshimika, na mtakutana na yeye akiwepo imetoka hadi ndoa.
Shida inaminya Uhuru wa wadada
At least miaka hii wakaka wanajipenda wanapendeza,miaka ya nyuma wanaweza kubambikia mtu hata hujamuelewa.
Ni utaratibu mzuri hasa kwa hiki kizazi chetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukiokoka okoka kila kitu...

Mavazi sio shida ila shida nazani unaielewa...
Yaani mavazi si tatizo kabisa yaani..
Nimevaa hadi mabaibui,sembuse marinda tu!
Ila tu Kuna shida kwa kweli masharti yetu kule ni ngumu mno aisee

Hasa mambo ya kuja kuchaguliwa mtu aisee..ni changamoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom