Swali la mbolea hili ndugu yangu. Acha tuendeleze uzao wa machogo, vijukuu vya Kambarage si mchezo huwezi linganisha na vizazi vingine. Mfano tembelea tu hapo kwa vijukuu vya Moi sijaona bado na niliondoka na utamu wangu.
JF hii imebarikiwa sana aisee. Naamini kuanzia sasa nyuzi za kuponda mabinti wa JF kuwa ni wabaya hawana shape zitakuwa zimekufa rasmi. Ashukuriwe mlozi Mshana Jr kuanzisha uzi huu. Hata wanaotafuta wenza washindwe wenyewe tu. Na hapa unaweza kufuatilia mtu anavyoposti na kujibizana na watu ukapata fununu ya tabia zake na misimamo yake. Kwa neema ya Mungu uzi huu utazaa ndoa aisee
Jana nilipitwa mengi sana, picha niliyokuwa nimetengeneza kichwani mwangu kwa warembo hawa ni halisi. You are gorgeous
Hapa mahari kiasi chochote nikitajiwa natoa.