Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Nazijua vizuri sana hasa Hiphop.
Ila za kuanzia 2010 kushuka nyuma,si unajua mimi muhenga

We ndo mpenzi wangu
We ndo kioo changu
Nikipendeza mtaani we ndo dizaina wangu wangu
Mshauri wangu wangu
Wa nyendo zangu zangu


Nilikuwa namalizia verse

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ahaaa mchumba
 
My cryptos going high
Screenshot_2021-05-01-08-28-20-48_18169564aa72a4bdaa010e8bb06a4946.jpg
 
BWANA AMEWAANGUSHA CHINI WATESI WAKO:USIOGOPE

Isaya 54:17
Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana."
Nakutakia kila la kheri katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani!
 
BWANA AMEWAANGUSHA CHINI WATESI WAKO:USIOGOPE

Isaya 54:17
Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana."
Nakutakia kila la kheri katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani!
Amen
 
T shs hizo vipi..njoo la dollar babu wee loh.

Kukubakishia nauli inategemea na siku hiyo nitaamkaje😄
Sawa bebito, nitapita benki ku convert hizo cash ila hilo la kunimaliza hadi nauli bado nalifikilia.

Na uzee huu kweli nianze kuwapigia simu wajukuu zangu wanitumie nauli, nione huruma 🙆🙈🏃🏻🏃🏻
 
Back
Top Bottom