Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nini sasa? Umeshamtumia tenzi bae wako?
Oh, ka una mwili mdogo, ni sawa. Muhimu kujaza jaza nyama enyewe! 🤣
Nazipenda sana..wacha nile kabla hazijaisha kwa mti.
Halafu mwili waniruhusu kula,Nina mwili mdogo.
Ndiyo bossOh, ka una mwili mdogo, ni sawa. Muhimu kujaza jaza nyama enyewe!![]()

NiceMtu asiye na legacy .View attachment 1762676

Yamesimama sana au ni macho yangu
NdiyoYamesimama sana au ni macho yangu




Hii stura unayotumia sahizi itabidi unielekeze kwa huyo Sadali! Nahitaji vijiti kadhaaAiseee
Mimi bongo fleva nimeacha kusikiliza 2015,ni baada ya mambo ya imani kunikolea sana.
Now nimerudi tena kitaa naona zinaanza kuninyemelea.
Mimi mashairi nitaweka,ila ya zile nyimbo old old .
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Madam chako chake... Nipo kama sipo vile...We jamaa upo aiseh

🤛🤛Ndiyo
Hayajaungwa,mm nimekula hivyohivyo.
😄😄😊🥂🥂Niambie mwambaChakorii mwenye Chakorii zake![]()
Vizuri sana brother.usipotee sana sasaMadam chako chake... Nipo kama sipo vile...
Nikipata kamuda nakuja kuchungulia kama wewe na wengine Mupo....