Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Morning too Anne
Morning too Anne
Kuna mbaba mmoja alishawahi niambia hii kitu ila sina uhakika nayo.Naomba kuuliza ;
Hivi Kuna jamii ya nyoka wenye tabia ya kutema madini yanayotoa mng'ao mkali usiku ?
Duh! 🤣 🤣 🤣Kuna mbaba mmoja alishawahi niambia hii kitu ila sina uhakika nayo.
Aliniambia kuwa huyo nyoka ni mkubwa sana ila ni kama nguvu za giza/lijini/lishetani/limzimu namengineyo ya mambo ya kuogofya..
Kile anachokitema huwezi kukichukua katika hali ya kibinadamu ya kawaida,na ikitokea umekipata hicho alichokitema inasemekana hiyo ni bahati yako/tunu.
Hicho anachokitema kinathamani mnooo.
Na kuna majimaji ya dhahabu ambayo yanang’aa mno ni mazito inasemekana yanapatikana katikati ya milima mikubwa kwenye miamba ni nadra sana kuyaona na ikitokea umeyaona,yanaweza kutoweka katika mazingira ya ajabu.na ikitokea pia umeyakinga hata ujazo wa kifuniko cha soda pia hutoweza kuyanyanyua mpka huyo nyota akukute..ukitoka hai mshukuru Mungu/ ukitoka salama na huo uji uji ukienda kuuza pesa yake ndefu mnooooo.
Na pia huyo mzee Ali enda mbali na kusema,ikiwa kama ni ngekewa yako wewe kupata,basi hautokutana na mauza uza wala kadhia ya aina yoyote.
Akasema pia hizo bahati zinawatokea mara chache mno wachungi waishio misitu mikubwa.na anaweza akakutana nayo lakini asiwe katika ufahamu wa utambuzi kuwa ndo yenyewe.
Akaongezea pia hilo lijoka kuna sauti huwa linatoa likiwa linatema hayo madini au kufanya safari zake za nadra sana chini ya bahari
Alinihadithia mengi sana ila naomba kwa leo niishie hapa.
Siku nikibahatika tena tukijaaliwa uzima na afya nitakwenda kumuuliza baadhi ya vitu ninavyotamani kuvijua.
Haya niliyoyaandika hapa Sio kwamba yana ukweli 💯 hapana.yawezekana nililishwa tango la kienyeji pia.ninaimani wajuvi wa mambo wengi wako humu ndani wanaweza kutuambia ukweli .
Napunguzaje sasa, mahaba kama yote.Hiyo sawa imejaa huzuni nyingi mno..ipunguze kidogo
Unacheka sana na wewe lohDuh! 🤣 🤣 🤣
Hayo mahaba yapunguzie kwenye beer yakibakia niletee nitayamalizia.Napunguzaje sasa, mahaba kama yote.
Amen ChiefAiseee thanks very much for this,
Nakuombea uzima next time ukamuulize vingine
Shem si mtaweka na mtakatifu hilo pozi, mimi nitakuwa pembeni na baba mchungaji tumevaa nguo zetu za vitenge.![]()



Yaan chapShem darling tuache masihara naweza kuwa dizaina wako mzuri mno..unatast zangu
Fanya chap

😃😃Yaan chap![]()
Mhh shem darling...hizi storyKuna mbaba mmoja alishawahi niambia hii kitu ila sina uhakika nayo.
Aliniambia kuwa huyo nyoka ni mkubwa sana ila ni kama nguvu za giza/lijini/lishetani/limzimu namengineyo ya mambo ya kuogofya..
Kile anachokitema huwezi kukichukua katika hali ya kibinadamu ya kawaida,na ikitokea umekipata hicho alichokitema inasemekana hiyo ni bahati yako/tunu.
Hicho anachokitema kinathamani mnooo.
Na kuna majimaji ya dhahabu ambayo yanang’aa mno ni mazito inasemekana yanapatikana katikati ya milima mikubwa kwenye miamba ni nadra sana kuyaona na ikitokea umeyaona,yanaweza kutoweka katika mazingira ya ajabu.na ikitokea pia umeyakinga hata ujazo wa kifuniko cha soda pia hutoweza kuyanyanyua mpka huyo nyota akukute..ukitoka hai mshukuru Mungu/ ukitoka salama na huo uji uji ukienda kuuza pesa yake ndefu mnooooo.
Na pia huyo mzee Ali enda mbali na kusema,ikiwa kama ni ngekewa yako wewe kupata,basi hautokutana na mauza uza wala kadhia ya aina yoyote.
Akasema pia hizo bahati zinawatokea mara chache mno wachungi waishio misitu mikubwa.na anaweza akakutana nayo lakini asiwe katika ufahamu wa utambuzi kuwa ndo yenyewe.
Akaongezea pia hilo lijoka kuna sauti huwa linatoa likiwa linatema hayo madini au kufanya safari zake za nadra sana chini ya bahari
Alinihadithia mengi sana ila naomba kwa leo niishie hapa.
Siku nikibahatika tena tukijaaliwa uzima na afya nitakwenda kumuuliza baadhi ya vitu ninavyotamani kuvijua.
Haya niliyoyaandika hapa Sio kwamba yana ukwelihapana.yawezekana nililishwa tango la kienyeji pia.ninaimani wajuvi wa mambo wengi wako humu ndani wanaweza kutuambia ukweli .

Shem darling kuna mzee mmoja aliwahi kunihadithia hii kitu.akaniambia “mwanangu,siku ukibahatika kuujua huu ulimwengu kwa undani wake utapata tabu sana Kama una roho nyepesi..unaweza kuwa mwehu na kuonekana chizi mbele za watu”.Mhh shem darling...hizi story![]()
Wee, hiyo ni hatari kwa usalama wa jamii! 🤣
Curiosity killed the nyau! 🤣 🤣 🤣Shem darling kuna mzee mmoja aliwahi kunihadithia hii kitu.akaniambia “mwanangu,siku ukibahatika kuujua huu ulimwengu kwa undani wake utapata tabu sana Kama una roho nyepesi..unaweza kuwa mwehu na kuonekana chizi mbele za watu”.
Curiosity !curiosity !
Hiyo story umenikumbusha uzi wa matukio ya kutisha! 🤣Unacheka sana na wewe loh
Weeee usiniambieCuriosity killed the nyau! 🤣 🤣 🤣
Naomba uniite kwenye huo uzi tafadhali.nauhitajiHiyo story umenikumbusha uzi wa matukio ya kutisha! 🤣
Wacha niu search, nikupe linkNaomba uniite kwenye huo uzi tafadhali.nauhitaji