Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

bc65d5772c8c45a683ec28e0d41307bc.jpg
 

Hii comment kuna uzi nilishawahi kuisoma,sikumbuki uzi gani..yaani nilicheka sana.
Yaani nikitaka kucheka huwa nakuja jf.

Mchumba mm kubet sijui ila huwa naingia mzima mzima na vitenge,viatu,miwani yangu na maparachichi..najisomba mzima mzima

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app


Hii comment kuna uzi nilishawahi kuisoma,sikumbuki uzi gani..yaani nilicheka sana.
Yaani nikitaka kucheka huwa nakuja jf.

Mchumba mm kubet sijui ila huwa naingia mzima mzima na vitenge,viatu,miwani yangu na maparachichi..najisomba mzima mzima

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Uzi huu mkuu.
 
Aisee😂😂😂😂
Sukari ndio inaleta hao nzi.

Kuna mwanamke mwehu hapa ananifanyia kejeri. Ni beki tatu nyumba kubwa mimi Niko hii ndogo amefanya mitego yake i stayed cool, Kuna ndug yang alikuja hapa akamfuata wametongozana huko. Kazi iliyo baki ni kurushwa roho yani ananirusha roho hatari
Mara aweke loud speaker ni sikie ana ongea nae, Mara akiletewa zawad aniambie
Leo nimewakuta sehem wamekaa sikuwaona ameniita alaf akatoe bonge la cheko

Yan mimi wakurushwa roho kweli Mimi
inakeraa
 
Back
Top Bottom