Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

bc65d5772c8c45a683ec28e0d41307bc.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii comment kuna uzi nilishawahi kuisoma,sikumbuki uzi gani..yaani nilicheka sana.
Yaani nikitaka kucheka huwa nakuja jf.

Mchumba mm kubet sijui ila huwa naingia mzima mzima na vitenge,viatu,miwani yangu na maparachichi..najisomba mzima mzima[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii comment kuna uzi nilishawahi kuisoma,sikumbuki uzi gani..yaani nilicheka sana.
Yaani nikitaka kucheka huwa nakuja jf.

Mchumba mm kubet sijui ila huwa naingia mzima mzima na vitenge,viatu,miwani yangu na maparachichi..najisomba mzima mzima[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Uzi huu mkuu.
 
Hahahaha haya nakuombea umpate. Mimi nilijiopolea zangu Baba Mchungaji, huku ni makoti ya suti na mashati ya vitenge kwa raha zetu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila haya maisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Aisee😂😂😂😂
Sukari ndio inaleta hao nzi.

Kuna mwanamke mwehu hapa ananifanyia kejeri. Ni beki tatu nyumba kubwa mimi Niko hii ndogo amefanya mitego yake i stayed cool, Kuna ndug yang alikuja hapa akamfuata wametongozana huko. Kazi iliyo baki ni kurushwa roho yani ananirusha roho hatari [emoji23]
Mara aweke loud speaker ni sikie ana ongea nae, Mara akiletewa zawad aniambie
Leo nimewakuta sehem wamekaa sikuwaona ameniita alaf akatoe bonge la cheko

Yan mimi wakurushwa roho kweli Mimi
[emoji23][emoji23] inakeraa
 
Back
Top Bottom