Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,174
- 11,240
Thanks bro [emoji120]Web pray for her quick recovery
Thanks bro [emoji120]Web pray for her quick recovery
Mmekapeleka hospital?She is doing good todayView attachment 1754413
Ndio kamepata dawa Fulani ya maji joto limekataMmekapeleka hospital?
Hazinaga radha,hata wanaozipenda cjui wanzpendea nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kumbe naye alikuwa mpiga vyombo eeh!
Itabidi nifanye namna nianze kuonja japo nijue pombe zinanogaje.
Oh sawaNdio kamepata dawa Fulani ya maji joto limekata
Unajua kila mtu ana taste yake,À
Hazinaga radha,hata wanaozipenda cjui wanzpendea nn
LabdaUnajua kila mtu ana taste yake,
Wewe waweza ona kitu kibaya lakini mwenzio anaona kitamu.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
🙏She is doing good todayView attachment 1754413
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna siku bhana tupo home, cc alivaa heels due kwa mtoko, sasa ile ashuke ngazi kutoka nje, nashangaa mtu chini, wallah nilishindwa kujizuia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilicheka mno tangu siku hiyo havai tena, na nikiona mtu kavaa heels nachekaga tyuuuh, nakumbuka kwa cc.
Chai iko wapi?😁😁😁
Haipo[emoji23]Chai iko wapi?[emoji16][emoji16][emoji16]
Hii picha itadumu kweli?Baada ya kushiba ugali[emoji23]
Nimekuja sasa kupika storiView attachment 1754550
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
ItadumuHii picha itadumu kweli?
Upo vizuri sana mpendwa na imeonyesha umeshiba kweli kweli
Dogo anachat na Israeli 😂
Damn! 👌Nyigu vile 😂