Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Mwee eti yananipa pressure yameiva kwa mpigo
Ongeza speed ya kula...

Hadi Sasa naona nimeshayashinda japo mnyukano ulikuwa mkali Sana.
Yamebaki matatu tu ambayo asubuhi nikiamua nayamaliza tu!

IMG_20210417_002316_3.jpg
 
Hii ni moja ya dhoruba kali sana kuwahi kunikumba in my lifetime.

Chanzo cha yote kuhama shule.

Shule niliyosoma form 1 na 2 haikuwa vizuri kitaaluma, ndipo baba yangu akaamua kunihamishia shule ya kina Sarah.

Toka form 3 when I first met her I loved her so much.

Najuta kuhama shule.
Oh pole Sana mkuu
Nakuelewa vizuri Sana aiseee.

Ila nakushauri usijute kwa yaliyopita.
Yakubali,angalia mbele kwa ujasiri.

Ila hayo mambo ni kawaida kutokea,
Wewe si wa kwanza na hautakuwa wa mwisho kupitia hayo.
Mshukuru Mungu kwa yote na kubali halikuwa fungu lako .

Mungu hakupi unachotaka bali hukupa unachostahili.
Amani ya Mungu ipitayo fahamu zote ikuhifadhi,Mungu akupe faraja na agange majeraha yako yote.
Akuinulie uso wake na kukupa amani.

Ukipata muda soma hilo hilo somo,
Nina imani Mungu atakwenda kuponya majeraha yako yote.

Mungu wangu akubariki SanaView attachment UPONYAJI WA MAJERAHA YA NDANI.pdf
 
Nashangaa kuna watu wanakula bila chumvi.

Wiki hii nakula hovyohovyo tu boss,hata idadi sijui
Njaa ikiniuma nakula maana yananipa pressure,yameiva kwa mpigo
Kuyaacha yaoze roho inaniuma Sana.View attachment 1754078
Daaah.. jaman si tualikane tu nije nkusaidie kuyavuna/alika majiran zako, au na kugawa inakuuma
 
Back
Top Bottom