Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Hahahahaha asie na dhambi awe wa kwanza kumtupia Mawe
Hahahahaha asie na dhambi awe wa kwanza kumtupia Mawe
Unataka unishawishi kufanya nini?Nataka nikushawishi...ukikataa nakuloga


Hahahahaha asie na dhambi awe wa kwanza kumtupia Mawe



Wakisema na twende tukaibe....
Pole sana brother, mkono tu na hcho kifua vinanionesha ukali/uzuri wa huyo mwanamke, ikiwa bado cjaona sura.
rafk yake achukue nafasi yakeHapana Mkuu, nilikuwa bado sijamuoa.
Hii ni picha(screenshot) akiwa katika vazi la harusi yake.
Niliipata kupitia rafiki yake wa karibu ambaye nilikuwa na mawasiliano naye ya karibu.
Actually, rafiki yake ndiye aliyekuwa akinipasha habari kuhusu maandalizi ya hii ndoa hadi ndoa yenyewe.
Shuhuri ilipoiva, rafiki yake alinitumia a short video clip iliyozima ndoto zangu zote juu ya huyu binti. Ni video clip iliyoonesha binti amevalia that wedding dress na akiwa katika hali ya furaha sana. Kupitia hiyo video clip ndio nilipata hiyo picha kwa kuscreenshot.
🙏🙏🙏Ni kweli bro, mipango sio matumizi..
Hakuna namna naweza badili ukweli kuwa "I am a loser".
Ahsante Mkuu kwa ushauri.
Nasubiri utoke kanisani kwanzaUnataka unishawishi kufanya nini?
Isiwe tu kunywa bia
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ukiona hujamuoa wewe basi jua, haikuwa stahiki yako,worry not.
Safiii...mchungaji kakosa pesa yako, biashara yake leo kapoteza one customer