T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,091
Hiyo rangi nyeusi imeharibu picha
Hiyo rangi nyeusi imeharibu picha
Weee usiniambieHiyo rangi nyeusi imeharibu picha
Unaniita?
Poa mzee, vipi?Haha...mambo vipi mkuu
Nitakuja kula dakuMi ndo hii njoo tufuturu
Eeh asikwambie mtu bwana...pa kushuka pawepo ndio tunavyotaka. Achana na hizo diet kwa sasa..Hahaaaaa....!!!umenikumbusha kitu last year niliacha diet the day kaniona anauliza were you sick?namuambia noo...why umekonda nkasema I'm duin diet ..loooh!,kaka nilichambwaaa Mimi sijaona sikuamini nkaacha diet kabisaaa...nikawa nalazimishwa kula km mlafii but since then ule mwili haujarudi tena... Nilipigwa suspension!!!!sina hamuuu!!!!from that day km kanipa nuksi sijanenepa tena kaka
!!!!nkagundua kumbe wanaume wanapenda wanawake wanene jamani!!!;
!!!!!
Chakorii kama yeye!
🥰🥰🥰🥰🥰🧚♀️🧚♀️🧚♀️Waoooo!!!![]()
😄😄yes baba🥰🥰Chakorii kama yeye!
Mie wanaume wote duniani waliochora tattoos huwa nawaona wahuni kasoro Messi tu



UnaniangushaNitakuja kula daku
Tobaaaaaaah wee unamaliza 2 mlo 1? duuuh bas mie Jah kaninyima vingi wallah,Aisee wewe dogo unapitwa Sana.
Mimi naona siku hizi nimepunguza
Kipindi nakua nilikuwa nakula hata parachichi 2 pekeyangu tena hapo ni mlo mmoja.
Mie wanaume wote duniani waliochora tattoos huwa nawaona wahuni kasoro Messi tu![]()
![]()




yaan nimecheka hapa hadi walio karibu yangu wananshangaa tyuuh.Kufunga tumbo nako mateso aiseeHahaaa...Dada huu mwili sijui kwa kweli maana mi ni mroho hatari....!!!hapa kufunga ndo kutanipunguza tena...!!!ila huko mbele sijui ingawa tumbo halipungui kwa kua sikufunga na sivai mikanda miye kujibana siwezi!

Unaniangusha
nakuja ustadhTobaaaaaaah wee unamaliza 2 mlo 1? duuuh bas mie Jah kaninyima vingi wallah,




hahahaha!!!kumbe ndo zenu!eti mwanamke manyama manyama pawepo hata pakushika looh!!





Eeh asikwambie mtu bwana...pa kushuka pawepo ndio tunavyotaka. Achana na hizo diet kwa sasa..