Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ewaraaaaa
Hii picha naipenda balaa

Akhsante Sana Madame
Yaani ningekuwa na hela Leo ningekupa ukanywe soda
hahaha!it is long time babes...!!!hyo picha hako kamwili hakarudi tena aseehhh! Hapo it was kwenye 2015 hivi rafiki sio 2017 nilikosea yaani najitamani mnooo!!!kwa sasa nimepungua sana km last year Dec I was 65 I tried to practice diet kwa Mara ya kwanza nilikonda nikaacha diet maana nilitaka nione naweza au siwezi...since then nimeishia hapa kwa 68!
 
hahaha!it is long time babes...!!!hyo picha hako kamwili hakarudi tena aseehhh! Hapo it was kwenye 2015 hivi rafiki sio 2017 nilikosea yaani najitamani mnooo!!!kwa sasa nimepungua sana km last year Dec I was 65 I tried to practice diet kwa Mara ya kwanza nilikonda nikaacha diet maana nilitaka nione naweza au siwezi...since then nimeishia hapa kwa 68!
Hapo kamwili kalikuwa kazuri Sana.
Lakini hata sasa naona hujabadilika Sana.
Baking tu hapohapo 68😊.


Ngoja nikatunze kapicha kazuri😍
 
Hapo kamwili kalikuwa kazuri Sana.
Lakini hata sasa naona hujabadilika Sana.
Baking tu hapohapo 68.


Ngoja nikatunze kapicha kazuri
Hahaaa...Dada huu mwili sijui kwa kweli maana mi ni mroho hatari....!!!hapa kufunga ndo kutanipunguza tena...!!!ila huko mbele sijui ingawa tumbo halipungui kwa kua sikufunga na sivai mikanda miye kujibana siwezi!
 
Tupia ya sasa hivi tuone, huo umodo sasa bwashe anashika wapi
Hahaaaaa....!!!umenikumbusha kitu last year niliacha diet the day kaniona anauliza were you sick?namuambia noo...why umekonda nkasema I'm duin diet ..loooh!,kaka nilichambwaaa Mimi sijaona sikuamini nkaacha diet kabisaaa...nikawa nalazimishwa kula km mlafii but since then ule mwili haujarudi tena... Nilipigwa suspension !!!!sina hamuuu!!!!from that day km kanipa nuksi sijanenepa tena kaka!!!!nkagundua kumbe wanaume wanapenda wanawake wanene jamani!!!;!!!!!
 
FB_IMG_1584634547948.jpg
 
Back
Top Bottom