Kwa kweli waugawanye tu huo mkoa
Poleni kwa yaliyowakuta aisee! Nimegundua kila binadamu aliyekuwa akajielewa ni lazima apitie tukio fulani la aibu maishani mwake kabla hajafa aidha mbele za watu au nyuma za watu lakini hilo ni lazima!
Eehh ndugu yangu maisha yenyewe ndiyo haya haya. Mie nimeamua kusamehe tu na kupotezea and now it is well with with my heart.