mdogo wangu usichezee bahati hiyo achana na Lizarazu hakufai huyo nenda kwa wanaume wanaojielewa kama hao hivi mbona nilishakufunda lakini hausikii unataka kuniaibisha mimi dada yako?? Nitaambia nini watu mimi jamani??
JF is the only place where we can dare talk openly, besides JF there's no other place where we can confidently express our disgruntlements about this fascistic government.
I personally won't stop to animadvert this reprehensible government and no one will snatch me.
Amen mdogo wangu nataka kuwa kama wewe unaonekana wife material sana kwa sasa mimi siyo wife material kabisa na wala sina mpango wa kuolewa ila nikianza kufikiria kuhusu kuolewa nitakuwa tu wife material
Amen mdogo wangu nataka kuwa kama wewe unaonekana wife material sana kwa sasa mimi siyo wife material kabisa na wala sina mpango wa kuolewa ila nikianza kufikiria kuhusu kuolewa nitakuwa tu wife material