Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,526
- 235,267
Tena huwa anajibu neno kwa neno..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ah yule tena akianza mambo yake ya kutema ung'eng'e na kujibu aya moja baada ya nyingine mbona tutatafutana humu
Singapore?!
, [emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana.. Daaah haya bhana, yaani umeniharibia na kwingine kote.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mdogo wangu usichezee bahati hiyo achana na Lizarazu hakufai huyo nenda kwa wanaume wanaojielewa kama hao hivi mbona nilishakufunda lakini hausikii unataka kuniaibisha mimi dada yako?? Nitaambia nini watu mimi jamani??[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Oops yuko active sana??Mzuri sana. Na yupo humu.
word!!!JF is the only place where we can dare talk openly, besides JF there's no other place where we can confidently express our disgruntlements about this fascistic government.
I personally won't stop to animadvert this reprehensible government and no one will snatch me.
Acha kututisha mzee baba.
Umenielewa
Hivi kwanini muamala hausomi kaka wakati namba unayo?Nasubiri timu pinzaniView attachment 1222917
Sababu naona nimeishiwa maneno ya kucomment wacha niweke vikatuni tuHivi kwanini muamala hausomi kaka wakati namba unayo?View attachment 1222940
Hizi zilikuwa za kutupia kwenye ule Uzi wetu pendwa wa kilaji....Ila sasa material zote zinaishia humu dah🤣🤣
Huyu mpaka sasa hivi alishakuwa wetu bado kuhalalisha tu.Lizarazu njoo bageshi. Shusha siksi paki zingine shemeji anataka kutukimbia humu [emoji16][emoji16]
Amen mdogo wangu nataka kuwa kama wewe unaonekana wife material sana kwa sasa mimi siyo wife material kabisa na wala sina mpango wa kuolewa ila nikianza kufikiria kuhusu kuolewa nitakuwa tu wife material[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]one day yes, never say never.Nakujua vema Sana.
Hilo ondoa shaka
Mimi nimeruka stage
kwa sasa mimi siyo wife material kabisa na wala sina mpango wa kuolewa ila nikianza kufikiria kuhusu kuolewa nitakuwa tu wife material [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Amen mdogo wangu nataka kuwa kama wewe unaonekana wife material sana kwa sasa mimi siyo wife material kabisa na wala sina mpango wa kuolewa ila nikianza kufikiria kuhusu kuolewa nitakuwa tu wife material[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]one day yes, never say never.
Oops yuko active sana??
Kabisa tena kitakuja kwa ndegeTena huwa anajibu neno kwa neno..
Yule jamaa Ni namba nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona kimbunga Cha arusha Cha Jana kitahamia humu.
Love you moreMimi penda sana wewe