Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Msosi afu msosi
20210410_203555.jpg
 
Upo sahihi chief,nimetembea mikoa mingi nchini,ila nafurahia sana maisha na mandhari ya mikoa hii
Morogoro
Kilimanjaro
Mbeya
Iringa
Arusha

Ni Kati ya mikoa huwa napenda sana uoto asili wake. Pia nadhani ile kampeni ya kupanda miti irudi tena,tusije kuwa jangwa siku za mbeleni.
Mkoa wa Morogoro una hifadhi kubwa ya miti ya asili kwenye misitu yake ya milimani na iliyo tambarare.
Mkoa huu unajivunia misitu mikubwa kwenye uwanda wa milima ya Udzungwa, mbangayao, Ilonga,Kihansi, Uluguru, Kinyanguru, Ngerengere nk.
Misitu mikubwa ya mkoa huo umepelekea kuwa na hifadhi kubwa ya maji.
 
hahahahhahaha ww ni google map...kwanza hyo picha na mwana jf tumepga wapi


otea

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mwee kalumbu sasa mimi mitaa ya huko ndani ndani nitaijuaje tena? Mbona nilishakuambia kuwa dar siyo kwamba naijua yote ila ni vile wewe unapigia picha zile sehemu maarufu ambazo mtu yeyote ambaye ameshawahi hata kutembea dar atapajua achilia mbali kuishi!
 
Yaani humu ndani Kuna Khantwe,Jael,Chakorii,Hornet.
Kila nikitana na comments zao sehemu lazima tu ziwe zinachekesha

Kuna na joanah na cocastic

Joanah majibu yake yanataka kufanana na ya dada yake Khantwe. Cocastic naye kule kwenye nyuzi za celebrities huwa ana majibu sijui anayatoaga wapi kuna siku alimpa mtu jibu hilo haki nilichekaaa.

Bila kuwasahau Evelyn Salt na Hannah! Daah haki namiss kile kikosi chetu cha maangamizi cha MMU tulikuwa tukivamia uzi wanaume wote nduki na wanaobaki wanaishia tu kutaja majina ya viungo vya siri!
 

Kuna na joanah na cocastic

Joanah majibu yake yanataka kufanana na ya dada yake Khantwe. Cocastic naye kule kwenye nyuzi za celebrities huwa ana majibu sijui anayatoaga wapi kuna siku alimpa mtu jibu hilo haki nilichekaaa.

Bila kuwasahau Evelyn Salt na Hannah! Daah haki namiss kile kikosi chetu cha maangamizi cha MMU tulikuwa tukivamia uzi wanaume wote nduki na wanaobaki wanaishia tu kutaja majina ya viungo vya siri!
Hao uliowataja siku hizi sikutani nao sana.
Ila hao niliowataja yaani huwa nacheka nakaribia kuzimia
Kwingine kunakonichekesha ni kwenye siasa
Wale watu wamevurugwa

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mkoa wa Morogoro una hifadhi kubwa ya miti ya asili kwenye misitu yake ya milimani na iliyo tambarare.
Mkoa huu unajivunia misitu mikubwa kwenye uwanda wa milima ya Udzungwa, mbangayao, Ilonga,Kihansi, Uluguru, Kinyanguru, Ngerengere nk.
Misitu mikubwa ya mkoa huo umepelekea kuwa na hifadhi kubwa ya maji.
Wacha weee
Mtoto wa Moro katika ubora wako

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mkoa wa Morogoro una hifadhi kubwa ya miti ya asili kwenye misitu yake ya milimani na iliyo tambarare.
Mkoa huu unajivunia misitu mikubwa kwenye uwanda wa milima ya Udzungwa, mbangayao, Ilonga,Kihansi, Uluguru, Kinyanguru, Ngerengere nk.
Misitu mikubwa ya mkoa huo umepelekea kuwa na hifadhi kubwa ya maji.
Nakupata mkuu.
Kiukweli kwa Tanzania nzima naamini ndio mkoa ulitakiwa kuwa kitovu cha kilimo,kuanzia ardhi,hali ya hewa mvua,mabonde na mito yenye maji ni mengi sana.
Ubaya uliopo ni kuwa government imepasahau sana,ukienda matombo ndizi mkungu jero,sasaa barabara ya kukufikisha huko,utaomba poo.

Nilienda pia mikumi kuna sehemu kanisa katoliki linaeneo huko wamevuna mpaka umeme na wanaiuzia selikari, changamoto ndio hizo za barabara kufika huko.
Kiujumla ni mkoa mzuri wa kimkakati kwenye kilimo chenye tija kwa taifa.
Nadhani kama washauri wa mama wanapitia humu,wajaribu kumshirikisha na kufanya utafiti,ili kuboresha huduma za msingi na kuwapa wakulima nyenzo za uzalishaji.
Tanzania imebarikiwa sana.
 
Back
Top Bottom