Karma Moro ni kubwa mnooo aise...ni kama imekaa namba 8 hivii kho!!!!
kwahiyo mwandiko umekuchekesha hahahaha ulikuwa umemiss kucheka
Yap usafiri w moja kwa moja ni mzuri sana sio ule wa kwenda kuchimba mizizi huko na kununua fudi khoooo...
Ohooo ingekuwa Town ningeshakuwa star sasa hivi maan ningetapakaa dunia nzima kwa kipindi kifupi mno..kila mtu mwandishi wa habari aiseh...nikilikumbuka lile tukio aiseh
na nikijiangalia...basi utukufu namkabidhi Bwana
Ohooo nilijua ni yule aliyesambaza ndo mmeyamaliza...ila sio mbaya sana cha muhimu ni Amani tu.mAmbo mengine yanatokea maishani kwa ajili ya kitupa fundisho