Ila Morogoro kubwa jamani daah
Yeah Mungu akijalia na yeye mwenyewe akiwiwa basi tutafahamiana! Haya mambo ya kusambaziana picha ndiyo yanatuponza wengine mi nimejipostia zangu status mtu anaiba anasambaza mwisho wa siku mi ndiyo naonekana mbaya sema nashukuru Mungu alinielewa tukayamaliza!