oohh hapo sawa fanya hizo ng'ombe zije nyumbani ndugu zako tuondokane na umasikini jamani nilishakuambia mwanaume mwenye hela tu ndiyo shemeji mwanaume asiye na hela huyo ni mume wa dada sasa tafadhali tunahitaji shemeji hatuhitaji mume wa dada sawa eenh??
I'm proud with my age... Kama una miaka 40 ni yako nami nitafika huko akipenda Muumba.
I'm young to yo but I've experienced a lot off stuffs than you.. And certainly u can reach them..
oohh hapo sawa fanya hizo ng'ombe zije nyumbani ndugu zako tuondokane na umasikini jamani nilishakuambia mwanaume mwenye hela tu ndiyo shemeji mwanaume asiye na hela huyo ni mume wa dada sasa tafadhali tunahitaji shemeji hatuhitaji mume wa dada sawa eenh??