qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
Aaah! ujue anaye tumiwa picha na mumeo alafu anatumiwa na crush wake kwa hyo ruhusa lazimambona nimesema siwezi kuzuia watu kutuma picha
Uzi ni wa picha.
Aaah! ujue anaye tumiwa picha na mumeo alafu anatumiwa na crush wake kwa hyo ruhusa lazimambona nimesema siwezi kuzuia watu kutuma picha
Uzi ni wa picha.
I reserve my commentsNatumai hakuna maswali sasa

A wapiAaah! ujue anaye tumiwa picha na mumeo alafu anatumiwa na crush wake kwa hyo ruhusa lazima



Hii imekaaje?
Mimi sijaiona vizuriNatumai hakuna maswali sasa
Kumbe unasubiri tu uchumba uvunjike ili uhameHaaa basi endelea kuwa single unisubirie mana humu mambo yanaharibika any time, inaweza siku isiishe nikaachwa![]()


Sasa unamuachaje bro jamaniNdo hvo wifi bye bye






Msinitishe.Angechelewa yangekua mambo mengine hapa![]()

Jokes tu mchumba....mm na wewe hatuachaniMsinitishe.
Nyie fanyeni tu hata hayo mambo mengine
Sitishiki hata.
Utashangaa leo waafrica tunagombana wenyewe kwa wenyewe kisa dini,dah..







Hapo kwa veggies sasa, ndo penyewe napenda sanaAina yoyote ile??? I hope unafidia na Veggies![]()
.RIP buddahRIP DMX..The world has lost one of the greatest rapper of all time.
Watoto wadogo hamuwezi kuelewaView attachment 1747771

Watu tunatumia bando kwa machale.Humu ndani kumepoa sana. Tatizo bundle eeh![]()

Missing him a lot kwakweli.Watu tunatumia bando kwa machale.
Makampuni yamegoma kushusha.
Angekuwepo mzee baba angetoa kauli moja tu na mambo yangebadilika.
I'm missing him![]()
Kuna persons baadhi wanavyo mdhihaki mwendazake, hadi napatwa na ganzi kabisa mwilini, siamini km ni wao yaan,Sasahivi wako busy kumtupia lawama.
Kila kitu yeye
Moyo wangu unaugua mno.
Ngoja tuwaache wajuvi wafanye mambo .
Hivi kwani hawawezi fanya tu bila kumsimanga?