Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

RIP DMX..The world has lost one of the greatest rapper of all time.

Watoto wadogo hamuwezi kuelewa
Screenshot_20210409-194618_Instagram.jpg
 
Sasahivi wako busy kumtupia lawama.
Kila kitu yeye
Moyo wangu unaugua mno.

Ngoja tuwaache wajuvi wafanye mambo .
Hivi kwani hawawezi fanya tu bila kumsimanga?
Kuna persons baadhi wanavyo mdhihaki mwendazake, hadi napatwa na ganzi kabisa mwilini, siamini km ni wao yaan,

Kweli wanadamu ni wanafiki na hawana jema.
 
Back
Top Bottom