Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaa. Nitafutieni tu mume. Bata zangu mie sio za gharama maana nalipiwa kila kitu hata msione wivu sio hela yangu ile . Unene unapungua mwaya. Nakimbia nipungue kidogo. Sema sipendi wembamba pia
Kuwa mwembamba bora ubaki chibonge, mi mwenyewe wembamba hapana

Ngoja tuwasakue mabaharia wakuje wachukue jiko
 
Back
Top Bottom