B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Mbona we mchonganishi ivo 😂😂😂😂Mmmh!!! kuna mtu kavamiwa ndan leo usiku na kufungwa miguu na mikono kisha akapigwa kisu cha tumbo then ila damu wakaandika ukutani ( mke wa mtu ni sumu ) kisha wakamuacha
Najaribu tu kuwaza Jack Palladino mbona kaa kizembe hvo lkn





