Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sindio ndomana minajuaga kabisa huwezi shindan na mwanmk mezanj eti unamlazimisha kula kula eti huyu halagi kabisa
Kwa kweli
Yaani chakula nimetoka nacho mwenyewe jikoni..nimeonja chumvi,mchuzi uko vizuri,nionje kama kimeiva tayari kwa kupakua...yaani hadi namaliza hayo yote nakuwa sina hamu tena ya kula.

Mimi huwa nakuwa na hamu na chakula kilichopikwa na mtu mwingine.
 
Kwa kweli
Yaani chakula nimetoka nacho mwenyewe jikoni..nimeonja chumvi,mchuzi uko vizuri,nionje kama kimeiva tayari kwa kupakua...yaani hadi namaliza hayo yote nakuwa sina hamu tena ya kula.

Mimi huwa nakuwa na hamu na chakula kilichopikwa na mtu mwingine.
Ile harufu inashibisha aisee, mimi nikipika mwenyewe nakula mpkaa napasukaaa😂😂😂
 
Kama utakua uko active hizi ibada za kilokole baada ya neno tu mchungaji akarudi kukaa kuna watu huwa wanachomoka fasta wanakimbia matangazo

Matangazo nayo huwa yanachosha kimtindo..
Mimi kuna ratiba huwa naona hazina maana kwangu kwa kweli..
Ila kuna ratiba hazijawahi nichosha..mfano kuabudu na maombi..hata tungekesha siku nzima ni sawa tu!
 
Ile harufu inashibisha aisee, mimi nikipika mwenyewe nakula mpkaa napasukaaa
Harufu inashibisha.

Mimi nikipika Wala sili,ile kuonja tu chumvi sijui kimeiva ndio basi inakuwa imetoka..kikifika mezani nakula kidogo sana.

Akipika mtu mwingine,yaani nikikute chakula mezani tayari aiseenitakula hadi basi,ile hamu ya kula inaongezeka.
 
Ile njaa vipi umeisahau? Huwag ukiomba wee saa sita ivi njaa
Kuna siku nimeanza kupasha chakula saa7 za usiku.

Kuna kasiku kangu huwa nafanya tuzoezi kwa kuomba angalau saa 1

Ile siku nimemaliza kushandarize 3hrs aisee tumbo liko empty..nikaenda kulala,haikupita hata dk 1 nikaenda tafuta chakula kilipo.
Nikachemsha na chai,
Ile njaa nilikuwa nayo ilikuwa hatari
 
Kuna siku nimeanza kupasha chakula saa7 za usiku.

Kuna kasiku kangu huwa nafanya tuzoezi kwa kuomba angalau saa 1

Ile siku nimemaliza kushandarize 3hrs aisee tumbo liko empty..nikaenda kulala,haikupita hata dk 1 nikaenda tafuta chakula kilipo.
Nikachemsha na chai,
Ile njaa nilikuwa nayo ilikuwa hatari
Kushandarize ni kufanyaje😂😂😂😂
Au ulikua unapambana na wachawi
 
Kushandarize ni kufanyaje
Au ulikua unapambana na wachawi
Haujui kushandarize??
Kukoroga lugha za malaika

Kuna muda vibe linapanda hadi unajisikia kuruka
Kuna muda unaona malaika hawa hapa..Sasa vibe lake
Kuna muda unaona vitu vibaya ama vizuri..
Kuna namna kavibe kanaongezeka..Sasa unakuwa umeconcentrate kuomba,mambo mengine yanatulia kwa muda.
 
Simple but nice
FB_IMG_16170473843111847.jpeg
 
Haujui kushandarize??
Kukoroga lugha za malaika

Kuna muda vibe linapanda hadi unajisikia kuruka
Kuna muda unaona malaika hawa hapa..Sasa vibe lake
Kuna muda unaona vitu vibaya ama vizuri..
Kuna namna kavibe kanaongezeka..Sasa unakuwa umeconcentrate kuomba,mambo mengine yanatulia kwa muda.
Haya maombi ya ivo mazitoooo😅,
Me siyawezi ilo vibe linapandaje?
 
Back
Top Bottom