Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Soft unaoshinda shambani??Mkono wenyewe soft ukiuleta shavuni na ubusu.....
Haki tena,ningekupiga leo.
Hivi unataka hadi nilie hapa ndio unipe picha?
Soft unaoshinda shambani??Mkono wenyewe soft ukiuleta shavuni na ubusu.....
Watu watachoka..
Mbona nakuona mwinjilisti kabisa weweTobaa
Siwezi ati
Mbona mashahidi wa yehova wanaongea kwa upole tu.Watu watachoka..
Mie naongea neno mojamoja halafu siwezi ile style ya kupayuka.
Unajua uinjilisti unamfaa mtu anayeongea haraka.
Shamba linahusiana vipi na kukomaa😂😂😂😂 kwani we ni kibarua wa kupalizi au kunyesha?Soft unaoshinda shambani??
Haki tena,ningekupiga leo.
Hivi unataka hadi nilie hapa ndio unipe picha?
Kama umeridhika kwanini ukasirike?"Nimeridhika na maisha yangu, nimetafuta nimekosa, nimkasirikie nani?"
Majuto ni mjukuu.
Shamba linahusiana vipi na kukomaakwani we ni kibarua wa kupalizi au kunyesha?
Wewe labda ulime vimboga au uoteshe maharage..
Picha ilo limepita mpka unitamkie ooh jaman kwenye simu![]()






Mimi siwezi yaaniMbona mashahidi wa yehova wanaongea kwa upole tu.




Niahidi baada ya ooh jaman utaongeza maneno matamu matamu😂😂😂😂
Haya naomba namba hapa nikupigie
Njoo kwangu tutangaze injili tunakula vya mazabauni😂😂😂😂Mimi siwezi yaani
Kuongea ni mtihani sana kwangu
Ukiridhika huwezi kukasirika ukiona waliofanikiwa.......Ni subra tu ya kuungana na waliofunga virago.
Nitaongeza mengi tu..Niahidi baada ya ooh jaman utaongeza maneno matamu matamu![]()
Utata wake ni upi kaka?Tungo tata Mkuu!
Njoo mjini nikufundishe survival skill
Nimekua curious gafla mengi mengi 😋😋😋😋😋😋Nitaongeza mengi tu..
Kikubwa picha
Haya nasubiri namba ,usininyanyase sasa
Mimi mwenyewe kesho naamka mapemaNimekua curious gafla mengi mengi
Hapa nachati lakini kesho ninalo na kazi za zege halichachi

Njoo mjini nikufundishe survival skill
Hio ni moja wapo tuna vaa zetu sare yetu ya kitenge kama baba na mama tunapanda coaster tunaanza injiliile hapo tuko kazini usije ukaanza tabia yako ya kula kwenye gari.





siwezi kabisaKwamba??Ni subra tu ya kuungana na waliofunga virago.