B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Kweli sielewi kinachoendelea kumbe shule zimefungwa😂😂Watoto wamefunga shule..halafu mimi sina wito wa ualimu aisee
Siwezi vumilia kabisa purukushani za kufundishana na kusumbuana.
Kweli sielewi kinachoendelea kumbe shule zimefungwa😂😂Watoto wamefunga shule..halafu mimi sina wito wa ualimu aisee
Siwezi vumilia kabisa purukushani za kufundishana na kusumbuana.
Hivi mbona wanitesa hivi wewe mwanaumeHii oh jaman tamu imenikaa moyoni nataka niiskie kwenye simu![]()




Utanyonga watoto wawatu kuns rafiki yangu alipata selection ya ualimu automatic after 4,alikua anaponda sana walimu saivi yeye nikamuuliza vipi unatuchapia watoto wetu ee😂😂😂 😂, akasema hivi vitoto vibishi hujui tuWatoto wamefunga shule..halafu mimi sina wito wa ualimu aisee
Siwezi vumilia kabisa purukushani za kufundishana na kusumbuana.
Nitajuaje kipaji changu eti?
Au sio kila mtu anakipaji![]()









😂😂😂😂
Itakuwa
Mimi mwenyewe sijui kipaji changu,yawezekana kuna watu hatuna vipaji.
Mimi siwezi kabisa kufundishanaUtanyonga watoto wawatu kuns rafiki yangu alipata selection ya ualimu automatic after 4,alikua anaponda sana walimu saivi yeye nikamuuliza vipi unatuchapia watoto wetu ee![]()
, akasema hivi vitoto vibishi hujui tu





Hata wewe unanitesa kila saa nakuwaza 😂😂😂😂hii oh jaman sitaisahau ngoja niandike tarehe na saa.Hivi mbona wanitesa hivi wewe mwanaume![]()
Sisi ndo definition ya maboya kama maboya yaaani![]()







hivi eeeh?







Kwa hiyo unalipiza??Hata wewe unanitesa kila saa nakuwazahii oh jaman sitaisahau ngoja niandike tarehe na saa.
😂😂😂😂😂
Itakuwa
Mimi mwenyewe sijui kipaji changu,yawezekana kuna watu hatuna vipaji.
Unabisha kiko wapi kama unacho😂😂😂hivi eeeh?
Ila mimi sikubali bhana![]()
Mapenzi ya kukimbizana kama waindi🤣😂😂😂Kwa hiyo unalipiza??
Acha kunitesa,nitumie picha basi mwenzio
Yaani wewe ungekuwa karibu ningeshakunasa na kibaoMapenzi ya kukimbizana kama waindi![]()

Njoo nacho bad kidogo nitaona changu,Dah
Ngoja nikitafute![]()
Mkono wenyewe soft ukiuleta shavuni na ubusu.....Yaani wewe ungekuwa karibu ningeshakunasa na kibao
Dah
Naomba basi jamani
Njoo nacho bad kidogo nitaona changu,
Sijui kipo kwenye masufuria![]()





😂😂😂😂Tobaa
Siwezi ati