Mbona niliweka mwanzoni huko niliifuta bada ya kuchimbiwa mkwara wassap kwamba nije kuitoa ngoja akili zangu za heineken zikinituma nitakuja kuweka tena baba wa mtoto mzuri
Ulivyosema boss lady nimecheka nikakumbuka pia, kuna siku Erick kanipigia whatsapp video ananiambia tuonane basi natata nikumiliki maana nishazoea bankers, account clerks, wamiliki wa maduka ya nguo ila sijawahi kumiliki md, mkurugenzi.
InshaAllah maneno yenu yakawe heri kwangu nitakuwa bosslady na mmiliki wa kiwanda kama bakhressa.