Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,199
Shida gani?Wanawake mna shida nyinyi daah sijui kwanini
Shida gani?Wanawake mna shida nyinyi daah sijui kwanini
Usiondoke mkuu .Basi mi naondoka,
Nikipata picha nitarudi.
Anadhani we afisa kipenyo.Usiondoke mkuu .
Hata bila ya picha unaruhusiwa kuchat tu hapa[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anadhani we afisa kipenyo.
Nilikumiss pia💜.......Tabasamu limesharudi [emoji4]
Mungu ni mwema Sana
Maisha yanaendelea
Nilikumiss[emoji7]
Wewe, ujaiona?Shida gani?
Ulivyo mchangamfu, unakosaje ata watoto utapata hahaha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niuokotee wapi mimi huo uafisa?[emoji23]
Hofu zake tu!
Mimi ni mtu poa sana na nimepata marafiki wengi hapa...tunaburudika humu na picha[emoji4][emoji4]
NdiyoWewe, ujaiona?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulivyo mchangamfu, unakosaje ata watoto utapata hahaha.
Nchi chini ya mamaNdiyo
Nionyeshe[emoji4]
[emoji171][emoji171][emoji171][emoji171][emoji171]Nilikumiss pia[emoji171].......
"love the people with whom fate brings you together,but do so with all your [emoji813]"
Ni tatizo hilo?Nchi chini ya mama
Very charming you are.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti eeh?
Maisha yanaendelea........[emoji171][emoji171][emoji171][emoji171][emoji171]
Vipi za maisha??
Waja lini kijijini kwetu kutalii?
Hii ni sehemu yangu pekee ninayopiga stori[emoji23]Very charming you are.
Fanya himaMaisha yanaendelea........
Yaani natamani ata mwaka huu lakini means hazikubali, usikae kijijini akili inarelax njoo mjini tuisome namba.
😅 Hii sehemu nzuri sana unakua huru na habari zinakufikia Zenyewe.Hii ni sehemu yangu pekee ninayopiga stori[emoji23]
Mno[emoji28] Hii sehemu nzuri sana unakua huru na habari zinakufikia Zenyewe.
😅😅😅Fanya hima
Mjini nakaaje jamani!
Unataka nife njaa mjini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]