Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Shida gani?Wanawake mna shida nyinyi daah sijui kwanini
Shida gani?Wanawake mna shida nyinyi daah sijui kwanini
Usiondoke mkuu .Basi mi naondoka,
Nikipata picha nitarudi.

Anadhani we afisa kipenyo.Usiondoke mkuu .
Hata bila ya picha unaruhusiwa kuchat tu hapa![]()
Anadhani we afisa kipenyo.







Nilikumiss pia💜.......Tabasamu limesharudi
Mungu ni mwema Sana
Maisha yanaendelea
Nilikumiss![]()
Wewe, ujaiona?Shida gani?
Ulivyo mchangamfu, unakosaje ata watoto utapata hahaha.
Niuokotee wapi mimi huo uafisa?
Hofu zake tu!
Mimi ni mtu poa sana na nimepata marafiki wengi hapa...tunaburudika humu na picha![]()
Nchi chini ya mamaNdiyo
Nionyeshe![]()
Nilikumiss pia.......
"love the people with whom fate brings you together,but do so with all your"





Ni tatizo hilo?Nchi chini ya mama
Very charming you are.
Eti eeh?
Maisha yanaendelea........
Vipi za maisha??
Waja lini kijijini kwetu kutalii?
Hii ni sehemu yangu pekee ninayopiga storiVery charming you are.

Fanya himaMaisha yanaendelea........
Yaani natamani ata mwaka huu lakini means hazikubali, usikae kijijini akili inarelax njoo mjini tuisome namba.



😅 Hii sehemu nzuri sana unakua huru na habari zinakufikia Zenyewe.Hii ni sehemu yangu pekee ninayopiga stori![]()
MnoHii sehemu nzuri sana unakua huru na habari zinakufikia Zenyewe.
😅😅😅Fanya hima
Mjini nakaaje jamani!
Unataka nife njaa mjini![]()