geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
anasema mikeka haramuKwanini usimtengeneze jamvi
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
anasema mikeka haramuKwanini usimtengeneze jamvi
WhooooiiiMzigo uwe wewe the thing i treasure the most and willingly to protect till the ends.
Huku nilipo sasa, kuna swimmingpools tu,
Beachtutaenda,hujawai kwenda mtoni Beach pori
![]()

kalumbu acha zengwe basi....tshert imejitunisha bana
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app





Hahaha!![]()
![]()
![]()
![]()
Mtaani sio vizuri watu wakufahamu sana,reputation inaweza ikaharibika kirahisi mno.
Ata kwenye mahusiano haisharuwi kuwa kwenye na mtu wa kitaani kwako according to kitaolojia.





Mama Samia?Ana watoto wangapi?
Anasubiri mkeka utickKalumbu hivi ile laki yangu ndiyo Umeamua kuchinjia baharini eh

Selfie zangu zimejaa huu uziOk nitakuepo hapa, nikisubiri utume selfiii.
Mweekalumbu oa huyo oa haraka
tumemchoka hapa nyumbani...oa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

Kiasi tu isizidi sana.Hahaha!
Mwingine mtaani haufahamiki kabisa hadi siku ukionekana wanadhani umevamia mtaa
Hiyo ni mbaya pia
Kuna maboya ya ku-float,Whooooiii
Mbona hayo mazingira si rafiki kwangu Sasa!
Sijui kuogelea..hiyo swimming pool nitaishia kuitazama kama televisheni.
Nitazipata vpSelfie zangu zimejaa huu uzi
na sijafikia hatua ya kuitwa boss nami nikaitikia ndio
Ila una mwili wa kiboss homeboy






Hahaha!Kiasi tu isizidi sana.
Mimi niogelee???Kuna maboya ya ku-float,
Nakufundisha ku-swim.

Kumbena sijafikia hatua ya kuitwa boss nami nikaitikia ndio
ila ina uwezo wa kumpa maji mtu yoyote aliye na kiu
nimekumiss
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
!Zipo post za juu.Nitazipata vp
Utaoga tu mbona,Mimi niogelee???
A wapi,hata kujaribu siwezi![]()