B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Hapo umenikosha sana,Mno
Inatuokoa wengine tusio waongeaji huko mtaani
Kutokua na mazoea sana na watu wa mtaani.
Hapo umenikosha sana,Mno
Inatuokoa wengine tusio waongeaji huko mtaani
Ndio ni tatizoNi tatizo hilo?
Mjini maisha magumu..
Unakufa njaa jaman na mimi nipo sitokubali ever.
Niko mjini kutafuta sometimes nikiwa na wewe uku mjini ningependa weekend ukae mahali ufurahi, beaches zote tunamwachia nani? Jaman!!!



Kakitambi ka kufutia simu

Mimi sioni tatizo.Ndio ni tatizo
Gender inequality

NdiyoHapo umenikosha sana,
Kutokua na mazoea sana na watu wa mtaani.
Kalumbuu kwema.
Mzigo uwe wewe the thing i treasure the most and willingly to protect till the ends.Mjini maisha magumu..
Sema kwa vile upo basi sitapata tabu sana japo sipendi kuwa mzigo kwa mtu
Nikija utanipeleka beach??
Sijawahi enda tangu nimezaliwa![]()
kalumbu acha zengwe basi....tshert imejitunisha banaKakitambi ka kufutia simu![]()



😅 😅 😅 😅Ndiyo
Wengine sisi wazito mno kujichanganya
Ana watoto wangapi?Mimi sioni tatizo.
Samia ni mama .
Hiyo gender inequality utakuwa umeiweka wewe
Mbona miaka yote wababa wameongoza na wala hatukulalamika!
Tena nilikuwa napenda mh baba .
Mimi sioni tatizo.
Samia ni mama .
Hiyo gender inequality utakuwa umeiweka wewe
Mbona miaka yote wababa wameongoza na wala hatukulalamika!
Tena nilikuwa napenda mh baba .
Hmm haya, ndugu usiku mwemaMimi sioni tatizo.
Samia ni mama .
Hiyo gender inequality utakuwa umeiweka wewe
Mbona miaka yote wababa wameongoza na wala hatukulalamika!
Tena nilikuwa napenda mh baba .
kwema nkamu....ww ni crush wa taifaKalumbuu kwema.
Hahahah
Kalumbu hivi ile laki yangu ndiyo Umeamua kuchinjia baharini eh
Ok nitakuepo hapa, nikisubiri utume selfiii.Usiondoke mkuu .
Hata bila ya picha unaruhusiwa kuchat tu hapa![]()
kalumbu eeeh ule mkeka si umetiki...nimenunua bodaboda ngoja nikimbize miez mitatu nakupa laki...Kalumbu hivi ile laki yangu ndiyo Umeamua kuchinjia baharini eh
kalumbu oa huyo oa harakaHahahah
Nipe mke kalumbu nikatoe mahari.
Kwanini usimtengeneze jamvikalumbu eeeh ule mkeka si umetiki...nimenunua bodaboda ngoja nikimbize miez mitatu nakupa laki...
.
..sema asante in advance
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app