Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
karibu tena Jack....
nafasi yako huku ulevini bado ipo mkuu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app


karibu tena Jack....
nafasi yako huku ulevini bado ipo mkuu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app


Yaani kalumbu nimeumia Sanahahahahahahahah haha nilitaka kushangaaa yani Jack anatuachia pombe kisa kalumbu.....
afu kalumbu una bahati na wanywa bia
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app



Vizuri sana kama ni nzuri mpendwa katika bwana.Ni nzuri kabisa mpendwa katika bwana.
Mr gani tena jamni??
Sijadanganya, nikivurugwa the only way to make things right...lazima ninywe kidogo!Kumbe!
Kwanini sasa ulidanganya??
Ulie siku nzima wakati semester inakutazamaJamani polee cc, ila sup inauma mnooh, km una roho nyepesi unaweza kesha unalia siku nzima yaan. Hawa lecturers mda mwingine wanaona sifa kufelisha watoto wa watu. Khaaaaah










Mimi nilisema nikidisco hata home sirudikwanza mie nasema ukweli, itokee nika disco baaas, safari ya Elimu kwangu iaishia hapo tyuuh. Siwezi kurudia rudia upya mie. Aaaaah

Mwee wizoooSaint Anne uliniponza ujuekaja rafiki yako basi kapita na like tu kama hajaona kitu vile
Mishe imekwama ngoja nimove on niangazie watu wengine lbda nitapata![]()
Kwahiyo Jana na leo umevurugwa?Sijadanganya, nikivurugwa the only way to make things right...lazima ninywe kidogo!
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app





I am back like i never left..karibu tena Jack....
nafasi yako huku ulevini bado ipo mkuu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

Mambo gani yanakuvuruga?Sijadanganya, nikivurugwa the only way to make things right...lazima ninywe kidogo!
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Tobaaa



Hakikisha unaniambia leo kabla mengine hajakuvuruga kesho
Kwahiyo na kesho unategemea kuvurugwa??
?Sawa mchumba!Hakikisha unaniambia leo kabla mengine hajakuvuruga kesho

Hapana, kuvurugwa ni unplanned! Inatokea huwezi jua liniKwahiyo na kesho unategemea kuvurugwa??
Ni wewe kweli?
Je kama siko mapenzini jeeee!!!Vizuri sana kama ni nzuri mpendwa katika bwana.
Mr gani tena unauliza wakati tulikubaliana Mr awe mwanaume yoyote uliyenaye kwenye mahusiano ya kimapenzi.
Nasubiri