cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Nimekumbuka advance Sir wa math, alikua ana kigugumizi sasa hasira na gubu ndo kwake, akiwa class akiongea au kuelezea kitu, sasa wanafunzi wakicheka atasema hivyo tutaktan kwenye test, chini ya 70 nafia mtu,Mkimuudhi Sana anasonya
Basi akianza kukemea na kile kigugumizi..anasema tutakutana kwenye paper![]()
Bas atatoa test utakuta wa kwanza ana chini ya 70.. Jamani atatandika fimbo km chizi



lol. Yaan class zima linanuka stick tyuuuh mweeeeh. Sitamsahau kamwee lol.




ndani ya tshirt.

