andromena
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 587
- 670
Pole... Quick recovery kakaWakuu Niko admitted Dodoma General hospital since last Sunday, abdominal pains. Prayers zenuView attachment 1722921
Pole... Quick recovery kakaWakuu Niko admitted Dodoma General hospital since last Sunday, abdominal pains. Prayers zenuView attachment 1722921
akununulie kabisa sio anakuonjesha tu



aninunulie mara ngapi sasa? RR ile? Hebu usijitoe ufahamu, au wivu lol. 



Poleeeh sana commander.Wakuu Niko admitted Dodoma General hospital since last Sunday, abdominal pains. Prayers zenuView attachment 1722921
Slim boe, tishaaah sana.
Ameeen. Nimependa maneno haya.
Huku kumegeuka uwanja wa mahaba sikuhizi?!😸😸😸 Kweli viwete watatembea, viziwi watasikia na mabubu wataongeaMimi nataka kuwa nA we kuwa na wewe tu
Watu wananita zoba wanasema eti umeniroga
Hata kama wakichonga ujue bado mimi nakupenda
Old song
Sijui nani aliimba
ITV
Jack Palladino View attachment 1723200
Wewe leo ungekuwa karibu yangu ningekuwa nishakuumiza kwa kipigo![]()




Sasa nakuelewa Kalumbu.
Nilikuwa na mwalimu wangu fulani alikuwa na kigugumizi aiseee...alikuwa na hasira Sana,yaani yule Kuna muda nahisi alikuwa anatamani atandike fimbosema ndio vile chuo hakuna fimbo
.akiingia darasa lote kimya,mtu akizingua ni kufukuza nje na matusi aisee..yule jamaa![]()




khaaaaaah lolVijembe Interchange 😸😸😸
Mimi sio boy ni Mr.Slim boe, tishaaah sana.
Huku kumegeuka uwanja wa mahaba sikuhizi?!Kweli viwete watatembea, viziwi watasikia na mabubu wataongea





nimecheka hadi tumbo linauma mweeh.Asubuhi njema 😸nimecheka hadi tumbo linauma mweeh.