qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,739
mmmhUsiogope
Adui wa kwanza ni hofu[emoji23]
Jiamini mtoto wa kike[emoji1787]
mmmhUsiogope
Adui wa kwanza ni hofu[emoji23]
Jiamini mtoto wa kike[emoji1787]
malkia nitumie kimemo turudianeNa yeye anazingua uqueen na uking sijui uliishiaga wap
Hakuwa serious sa hv anasumbua mahaba ya watu geraldincredible
Doh[emoji134]Dah jina lake linaishia jr [emoji56]
Ukifikiria vzuri utamjua ila naogop kumtaja
🤣🤣🤣........“Nyinyi hamjui kitu! Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?”(Yohana 11:45-57)
Hua unatumia nguvu sana kukemea au kuimba?Yangu crush haijawahi badilika
Inanguruma kama gari bovu inavyopanda mlimani
Halafu si unajua sauti za kilokole sometimes zinakuwa kama za kiwendawazimuwendawazimu fulani[emoji18]
Situmii nguvu Sana ila ukiwa huku automatically kuna kavibe unakapataHua unatumia nguvu sana kukemea au kuimba?
Yai za kienyeji zipo.
OMG [emoji134] jaman akiona naitwa ivo malkia si ndio atanipotezea kbsaa
Mkuu lini utaenda tena Rock City Mall?OMG [emoji134] jaman akiona naitwa ivo malkia si ndio atanipotezea kbsaa
Hapa hapa selfika ni mwenyej sana...ni mtu ambaye ata ukiandika utoporo yeye ana like[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Doh[emoji134]
Jr ziko nyingi.
Naomba uniwekee japo herufi ya mwanzo au jaribu kumdescribe..ama kugusia nyuzi ambazo huwa anachangia.
MkwepuHapa hapa selfika ni mwenyej sana...ni mtu ambaye ata ukiandika utoporo yeye ana like[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅 😅 😅 😅Situmii nguvu Sana ila ukiwa huku automatically kuna kavibe unakapata
Sasa ukijumlisha na sauti yangu ya kibebe[emoji134][emoji134][emoji134]ndo basi tena crush
Kuimba lazima tumbo liumie,,, energy [emoji4]
jamaaa gani tena??OMG [emoji134] jaman akiona naitwa ivo malkia si ndio atanipotezea kbsaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Itabidi nijiridhishe kwanza bado sijakubali.
Sijawahi kuimba kwaya sina experience, kuomba kawaida situmii nguvu.
Vipi tena jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaaa naenda mara kwa mara mkuuMkuu lini utaenda tena Rock City Mall?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ok sawa mkuu, ile siku ulipendeza sana na ile miwani yakoHahaaa naenda mara kwa mara mkuu
HaahahaMkwepu
Kwema Annie?Vipi tena jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si tulikubaliana jamaa ni wewe Kalumbu[emoji1787]
[emoji485]Mkwepu