qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
mmmhUsiogope
Adui wa kwanza ni hofu
Jiamini mtoto wa kike![]()
mmmhUsiogope
Adui wa kwanza ni hofu
Jiamini mtoto wa kike![]()
malkia nitumie kimemo turudianeNa yeye anazingua uqueen na uking sijui uliishiaga wap
Hakuwa serious sa hv anasumbua mahaba ya watu geraldincredible
DohDah jina lake linaishia jr![]()
Ukifikiria vzuri utamjua ila naogop kumtaja

🤣🤣🤣........“Nyinyi hamjui kitu! Je, hamwoni kwamba ni afadhali kwenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima liangamizwe?”(Yohana 11:45-57)
Hua unatumia nguvu sana kukemea au kuimba?Yangu crush haijawahi badilika
Inanguruma kama gari bovu inavyopanda mlimani
Halafu si unajua sauti za kilokole sometimes zinakuwa kama za kiwendawazimuwendawazimu fulani![]()
Situmii nguvu Sana ila ukiwa huku automatically kuna kavibe unakapataHua unatumia nguvu sana kukemea au kuimba?
Yai za kienyeji zipo.


ndo basi tena crush
OMG
jaman akiona naitwa ivo malkia si ndio atanipotezea kbsaaMkuu lini utaenda tena Rock City Mall?OMGjaman akiona naitwa ivo malkia si ndio atanipotezea kbsaa
Hapa hapa selfika ni mwenyej sana...ni mtu ambaye ata ukiandika utoporo yeye ana likeDoh
Jr ziko nyingi.
Naomba uniwekee japo herufi ya mwanzo au jaribu kumdescribe..ama kugusia nyuzi ambazo huwa anachangia.







MkwepuHapa hapa selfika ni mwenyej sana...ni mtu ambaye ata ukiandika utoporo yeye ana like![]()
😅 😅 😅 😅Situmii nguvu Sana ila ukiwa huku automatically kuna kavibe unakapata
Sasa ukijumlisha na sauti yangu ya kibebendo basi tena crush
Kuimba lazima tumbo liumie,,, energy![]()
jamaaa gani tena??OMGjaman akiona naitwa ivo malkia si ndio atanipotezea kbsaa
![]()
![]()
![]()
![]()
Itabidi nijiridhishe kwanza bado sijakubali.
Sijawahi kuimba kwaya sina experience, kuomba kawaida situmii nguvu.








Vipi tena jamani




Hahaaa naenda mara kwa mara mkuuMkuu lini utaenda tena Rock City Mall?





Ok sawa mkuu, ile siku ulipendeza sana na ile miwani yakoHahaaa naenda mara kwa mara mkuu
HaahahaMkwepu
Kwema Annie?Vipi tena jamani
Si tulikubaliana jamaa ni wewe Kalumbu![]()