B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Ndg geraldincredibleKwa style gani sasa
Mchanganuo wa namna ya kutag/kum-mention mtu JamiiForums
Bonyeza( @) alafu andika jina la mlengwa unayemtag bila kukosea Spelling hata moja kama jina lake ni herufi ndogo andika hivyo hivyo, vivyo hivyo likiwa la herufi kubwa kama langu S T O I C utaandika kwa herufi kubwa.

Sasa nimekuelewa


..

, hata wewe hapo kuna kipindi ulikua hujui pia.
