Grand maltView attachment 1721068
Kijioni flani hivi tulivu cha J-Nne, huku nabembelezwa na Ferre Gola, Madilu, Mopao Mokonzi, Roga Roga, Papa Cherie, Dou dou copa, Papaa Fula Ngenge Wemba kwa mbaaaali
, life is Guuudah Fellaz.

Ndoano baki nayo huwezi kuvua kitu
Tutapita milima pia na mabondeWashaanza kukuita PM uwe makini coz wanataka tuachane

for you sweetheartKaribu daddyNimeliona guu. Theenksi mai dota![]()
Bado unapiga mbiziGuu la Taifa
Umefanya hadi nivuke Maji kwa ajili yako na usifungue mlango 🙆🙈🏃🏻
Kumbe unaumwa na ugonjwa wangu eeDah!!.....Huu mguu huu!!
Kwa huo unene wa mguu unaonyesha umebeba kitu chenyewe kabisa(ugonjwa wangu)
🧚♀️🧚♀️Guu la kuombea mkopo TPB. Wallah
🤣🤣🤣🤣ankal...Kafanana na babaake..hongera zakwe![]()
Tutapita milima pia na mabonde
Yahitaji uvumilivu Sana.
Nakupenda mpenzi wangu
Maana wewe ulinipenda
Ukanichagua niwe wako
Kukupenda sitoacha
Maishani mwangu mwote
I'm singingfor you sweetheart
Ni wimbo wa Gospel wa mwanadada fulani



Mkuu naskia rahaa sana
Ndiyo lakini kwa mbali naona mwambao, huenda ndiyo nakaribia kufika.Bado unapiga mbizi
Kipenzi ...Kipenzi...
mkuu una bahati sanaMkuu naskia rahaa sana
Mambo...Kipenzi ...
Hahahaha, nani anaibane tena kipenzi zaidi yakoMambo...
Nimekuhamu kipenzi.huyo aliyekuwa amekubana mwambie namuandalia tuzo..sio kwa kupotea huku
Si ndo hapo sasa..na mbona uliniacha mkiwa kipenzi changuHahahaha, nani anaibane tena kipenzi zaidi yako
Hahahaha, pole sana ,huwezi kuwa mkiwa banaSi ndo hapo sasa..na mbona uliniacha mkiwa kipenzi changu