Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Achana na huyo T 1990 ELY rafiki.anakudanganya😃😃😃Kumbe kitu ipo ila mimi naishia kudanganywa kila siku kuwa ni flat shuz!😄🚶🚶🚶
Achana na huyo T 1990 ELY rafiki.anakudanganya😃😃😃Kumbe kitu ipo ila mimi naishia kudanganywa kila siku kuwa ni flat shuz!😄🚶🚶🚶
🏃🏃🏃Ujue nina picha yako ya ugonjwa wa jamaa Behaviourist![]()
Nikutumie uthaminishe mkuu?
🙌🙌🙌Nikutumie uthaminishe mkuu?
Najua huna unanitisha tu🤣🤣Ujue nina picha yako ya ugonjwa wa jamaa Behaviourist![]()
Unaniruhusu nimtumie?
Huna cha kutuma najua😅😅😅Unaniruhusu nimtumie?
Yaani unaniambia kuwa nisimsikilize rafiki yangu mpendwa ambae nimempata leo baada ya kuunganishwa nae kupitia chura?Upo serious kweli?😳
Niruhusu uone kama sina cha kutuma ChakoriiHuna cha kutuma najua![]()
Hahahahahaha.....mwambie akuruhusu/aniruhusu nikutumie chura yakeYaani unaniambia kuwa nisimsikilize rafiki yangu mpendwa ambae nimempata leo baada ya kuunganishwa nae kupitia chura?Upo serious kweli?![]()

Hii ndo nzuri sana, iweke bas mommy
Ile ya upako ndio mwisho wa matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umeirudisha
Nimefurahi sana
Naomba anuani yako rafiki, nataka niwatume wazee walete posa huko Zanzibar manake si kwa guu hilo😍😍
Wewe ya kwako ya chura utaiweka lini?😄😄😄Hii ndo nzuri sana, iweke bas mommy
Nipo serious rafiki.usimsikilize rafiki yako mpya anakupoteza😃😃😃Yaani unaniambia kuwa nisimsikilize rafiki yangu mpendwa ambae nimempata leo baada ya kuunganishwa nae kupitia chura?Upo serious kweli?😳
Eti kanda ya nyonyoNaomba anuani yako rafiki, nataka niwatume wazee walete posa huko Zanzibar manake si kwa guu hilo
Najua ukinizalia mabinti nitakuja kuwaoza kwa ng'ombe wengi huku kanda ya nyonyo![]()


Mkuu!!😳😳😳Umeamua kuniingiza kwenye taabu na dhiki ya kuanza kutamani vya watu?😋😋😋
Sawa natuma kwa jamaaHakyamama tuma kama unayo
