cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,106
- 181,182
Thubutuuuh wee rollroy mchezoooh, lazima nikukalishe yaan.sawa.....soon...tutaanza mpambano...nahakikisha lazma nitakushinda 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutuuuh wee rollroy mchezoooh, lazima nikukalishe yaan.sawa.....soon...tutaanza mpambano...nahakikisha lazma nitakushinda 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee kipendhiii bado uko visiwani?
Karibuni tule mkono kwa mkono View attachment 1704610
Mbona unaguna doctor? Habari ya kilingeni! Naskia wateja wote wamekukimbia sababu dawa zako hazifanyi kazi aka hazina madhara😀
Sawaaaah babuuhUmechelewa mjukuu chukua hiki
Naomba uje utoe ushuhuda ...lets allow time to emergeThubutuuuh wee rollroy mchezoooh, lazima nikukalishe yaan.
Acha utani
Kwa nguvu gani nilizonazo?
Sasa nyie mnapasuliwa tofali kifuani hamfii,,ngumi yangu itakuulia wapi?




Mwili wa Balozi John Kijazi Ukiagwa mjini Dodoma View attachment 1705486