Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

..nasisitiza tena, kama tunataka kuendeleza kuselfika, ukitoka home tinga hiyo kitu...! Nawa mikono, tembea na sanitizer(it's just 2000-5000tsh) na usikaribiane na watu.
Otherwise, huenda tukawa Italy ya Africa, God forbid though!View attachment 1705009View attachment 1705013
Unaweza kutumia Barakoa na Sanitizer kikamilifu lakini hutaweza kuepuka kukaribiana na watu.
Nimeingia City centre kila niayemkwepa yeye ndo ananisogelea.
Hili janga linahitaji kauli ya serikali ili kuwa na mshikamano kwenye mapambano
 
Scania
20210209_140137.jpg
 
Back
Top Bottom