cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296





wee acha kabisaa, umeona ndinga hilo? Yaan hata uncle mwenyew na msafara wake wakiniona na huu mkoko wanapisha mbali, Haya sasa jipange vizuri huko, mie nakusubiri wee tyuuh.
Chezea watu na pesa zao, huhuhuhuh na simpi lift mtu atawehuka ndani ya chuma changu buree.












