Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

last time amepotea alivyorud alikua na majanga ya ajali.....this time sijui kwann kapotea hope yuko salama huko aliko



lakini si uko na namba yake em mcheki..
mwambie G anakuambia kilimanjaro zimeshuka bei arud tuu
Kili zimeshuka bei?Yesu wangu..wanamtakia nini Billy jamani
Si ajabu alishatupa simu huko kwenye Kilimanjaro

Mimi Sina namba yake Kalumbu
Si tumekubaliana wewe unamleta..
geraldincredible Nileteeni Billy
Nileteeni Billy
Nileteeeeniiii Billyyyyy
 
Valentine yangu imekua so suprised, yaan jion ya leo ndo naletewa zawadi uuuuuh,
Babuuuh Mshana Jr plz kesho tukutane mawasiliano tower, nahitaji ulifanyie kila huduma hitaji kwa hii zawadi, nataka ijumaa iwe road kwa matumizi,
Haya wale mliokua mnataka ligi na mie, mjipange huko mliko,
Nasubiri taarifa toka kwenu. Mie niko kamili full package. View attachment 1703370
hongera sana cocastic umenitetemesha na ilo picha
 
Back
Top Bottom