T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Saint Annewatu gani?
Na wana raha gani?
Saint Annewatu gani?
Na wana raha gani?
Huko mbele sijui weweMhola sana
Ng'wagoko bhageshi



Sema/andikaHuko mbele sijui wewe
Usiendelee Sana
Ila hii salamu itanisaidia siku nikipita usukumani.

Ohooo maana yake nini?Sema/andika
Eminza au eng'washi bhageshi
Siyo kupita tu ukikaa/olewa usukumani mpendwa![]()



Maana yake kama kiitikio cha salamu na hapo huwa kuna tofauti nyingi za kuitikia kutokana na koo/ukoo wa mtuOhooo maana yake nini?
Na ile "mola du"inatumika wakati gani?
Tofauti Yake na mhola sana ni nini?

OhMaana yake kama kiitikio cha salamu na hapo huwa kuna tofauti nyingi za kuitikia kutokana na koo/ukoo wa mtu
Mfano kuna koo/ukoo wa kuitikia eminza,eng'washi,enchama nk
Mhola du inatumika wakati wote ukiimaanisha mzima kabisa
Du maana yake(kabisa)
Mhola sana nayo ni mzima sana

Karibu sana usukumani na itafaa zaidi ukiolewa huku ili tuchanganye makabilaOh
Hapo sawa
Nitaendelea kujifunza zaidi

Nikipata mchumba wa huko nitaolewa huko .Karibu sana usukumani na itafaa zaidi ukiolewa huku ili tuchanganye makabila![]()
Hapana bhana wanaume wa kisukuma siyo wababeNikipata mchumba wa huko nitaolewa huko .
Japo wasukuma wababe Sana.

Wababe sanaHapana bhana wanaume wa kisukuma siyo wababe
Mchumba utapata ni wewe tu kuwa na utayari huo![]()
Au ukimbie wewe tu.uziache hizi siku ziendelee kutambaaSawa Mama, nimeshakuhamu hapa. Natamani hizo siku zikimbie uje 😀
Ukiona wanaume wa kisukuma wababe jua hao ni wasukuma wa kurithi,kuhamiaWababe sana

Baharini kuna Samaki tu mkuu, wadudu wako kwenye maji baridiWadudu


Ukiona wanaume wa kisukuma wababe jua hao ni wasukuma wa kurithi,kuhamia![]()


Nakubali 100%