Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20210212-202950.jpg
 
Niko poa sana!...cant wait hiyo siku unakua wangu forever!

Wewe pombe huwezi kuacha..
Labda nikushauri tu upunguze,unywe kwa kiasi .

Kuna wanaume wanakunywa hadi wake zao wanaenda kuwabeba club.

Kuna wanaume wanakunywa akirudi nyumbani ni vurugu anachanganya watoto na mke basi ni kipigo.

Kuna wengine kama wewe wanashinda kutwa kunywa mtu tangu saa6 adhuhuri Hadi 6 usiku upo kunywa..unahama tu viwanja.
 

Wewe pombe huwezi kuacha..
Labda nikushauri tu upunguze,unywe kwa kiasi .

Kuna wanaume wanakunywa hadi wake zao wanaenda kuwabeba club.

Kuna wanaume wanakunywa akirudi nyumbani ni vurugu anachanganya watoto na mke basi ni kipigo.

Kuna wengine kama wewe wanashinda kutwa kunywa mtu tangu saa6 adhuhuri Hadi 6 usiku upo kunywa..unahama tu viwanja.
Mm hapana!...nijue kwanza
 
Back
Top Bottom