Kuna sehemu huko juu nimeona watu wanazungumza kuhusu jambo lisilokuwepo na wala halipo, hayo ni mawazo yao/yenu na hakuna convoh yeyote iliyokuaa na maudhui ya kuhitaji ngono baina ya watu hao mnaowadhania.
Nashangaa watu wanaleta zengwe na ujuaji cha ajabu ni wanaume tena wanajiona ma straight damn lol, nia yao kuleta taharuki tyuuh kwenye uzi.
Hii forum ina setting ya ignore na block, ndo kazi yake kuzuia kile ambacho hakipaswi kuonwa machoni Pa watu. Na wee muhusika ukiona hutak kuona kitu fulan click sett ya ignore na block, case kwisha hatutaki kelele zenu hapa msieeeew.
Muuache huu uzi watu waendelee kuburudika nao, ukiona umeshindwa kuhimili wee left tyuuh hakna atakae kufuata huko.
...........