Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
😅😅😅😅Elly wewe ni chizi haki tenaHahahaa....mimi huyu nimvishe pete mtu/mwanamke?
Haiwezi kutokea huwa nawavisha vitu vingine siyo pete![]()
😅😅😅😅Elly wewe ni chizi haki tenaHahahaa....mimi huyu nimvishe pete mtu/mwanamke?
Haiwezi kutokea huwa nawavisha vitu vingine siyo pete![]()
Hee

karibuOohh nashukuru sana mkuu. Kwa kweli nimejifunza kitu.
Nitakutafutaga PM
Asante
Umekosea mnoHee
Usitake kuniambia nimekosea
Karibu karanga za kienyejiElly wewe ni chizi haki tena
Kweli eee
Nataka Za kizunguKaribu karanga za kienyejiView attachment 1698281
Nimesoma vimbaya eti nikajua unataka wazunguNataka Za kizungu

Wewe si chizi 😆😆😆Nimesoma vimbaya eti nikajua unataka wazungu
Karanga za kizungu sizijui shemeji yangu kipenzi mzuri
Mazoea na mchumba wa mtuHutaki nini mkuu?![]()
Niko mwanza mkuuWe upo wap
Aiseeeeeee!!Mazoea na mchumba wa mtu
Kaka asiyependa vitu vya kienyeji hapana sina mpendwaWewe si chizi
Hivi hauna kaka yako asiyependa vitu vya kienyeji tukaunganisha ushemeji vizurimaana hiyo shemeji umeipamba vizuri mnoooo
Sasa tutafanyaje bwana harusi mtarajiwaKaka asiyependa vitu vya kienyeji hapana sina mpendwa