Mmmmh wakati ngazi zinaonesha wazi kabisaa.Apana sema nyumba ipo juu kidogo .





afu mtamu balaaaah, aaaaah nshamiss hapa lolPouzzyZamani za kaleView attachment 1695997
Zinafanana na chapati za kitanga kumbe.Chapati za kitanga izo
Nini sasa babuuh jomoneeeh?Sio vidhuli mjukuu






Nimependwa na mwanamke kupitia harufu nzuri ya hii kituView attachment 1696692





, sasa hajakupenda wee ila ni hiyo kitu. Means ukiwa huna hatakupenda au hakupendi. Umeona chapati tu mimi hujaniona?Mie hizo chapati tyuuh,![]()

Huwa mnaanza kwanza kupenda vitu tulivyonavyo halafu mwenye vitu/kitu akisema hitaji lake hakataliwi, sasa hajakupenda wee ila ni hiyo kitu. Means ukiwa huna hatakupenda au hakupendi.
Sijui unaelewaa lakini.

Nmeona miguu tyuuh sasa, hebu weka kuanzia usawa wa mapaja had kifuan, huenda ntakuona vizuriiiiiiih, nipatwe na kimuhe muhe cha kubiringika biringu biringu Sunday tulivuu hii. Lol.Umeona chapati tu mimi hujaniona?![]()




