Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
eeh ivi siku hizi wari unawatafuta mtaan?? 😂Mwambie anitafute aache mambo ya ajabu huko😅😅
eeh ivi siku hizi wari unawatafuta mtaan?? 😂Mwambie anitafute aache mambo ya ajabu huko😅😅
Ni lugha gani hii umeandika😁😁eeh ivi siku hizi wari unawatafuta mtaan?? 😂
Umekaa ndani sana mpaka kiswahili umesahau sio... Eniwei... Mwari tunampataje mtaan😂au nimwage mcheleNi lugha gani hii umeandika😁😁
Mi hata sielewi ujue...Umekaa ndani sana mpaka kiswahili umesahau sio... Eniwei... Mwari tunampataje mtaan😂au nimwage mchele
Ameeeeeeen


Ghorofani juu.Baada ya kazi mda wa kuludi kwenye kiota View attachment 1695462
Yaa, samaki analiwa hivyo mkuuBundula lol,![]()

Ndo kupo hivyo zenji? LolZanzibar terminal 3View attachment 1695552
Huyo ugali una ladha nzuriiih.Yaa, samaki analiwa hivyo mkuu![]()