Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

The Wolf Hebu tutafutane brother..
Au ni mpka kanda ya kaskazini mwezi wa kumi na mbili eee
Ha ha mimi nipo hapa sasa hivi nitakuja March kama sheikh akisafiri si unaweza kutoka?
20210205_214943_mfnr.jpg
 
Siwezi bananishwa The Wolf ..nilisharudi nikaja tena,nikirudi bara tena basi ili mradi tafrani tu.

haiwezekani mimi kubananishwa huku
We unasema tuu, huko ukikutwa na mke wa mtu unapelekwa jela (chuo cha mafunzo), na huafai katika jamii bora huku bara unakatia konyagi hutaki mazoea baada ya wiki wamesahau
 
We unasema tuu, huko ukikutwa na mke wa mtu unapelekwa jela (chuo cha mafunzo), na huafai katika jamii bora huku bara unakatia konyagi hutaki mazoea baada ya wiki wamesahau
Sijawolewa bhana 😅😅😅kuwa free tukajiachie huko nungwi😎maisha ndo haya haya brother.

Hebu toa woga tukajipigie zetu nyagi
 
Back
Top Bottom